CHADEMA haina heshima kwa viongozi wake, inataka kumwondoa Mbowe kihuni bila kujali mchango wake, Mbowe alitakiwa kustaafishwa kwa heshima kubwa

🤔🤔🤔
 
🙋‍♂️✍️🎯💐🤝🙏
 
Mbowe mwenyewe anachosha ameamua kuwasikiliza machawa wake. Sisi kumkosea heshima kataka mwenyewe. Wala usihofu jua kuwa akirudia kuwa mwenyekiti kwa muhula huu basi atakuwa level moja na Lipimba, Cheo na vile vyama 14. Kwa pamoja watakuwa wanatoa matamko.
 
Lissu Muda gani alikuwa nje.

Muda wote chama kina kwenda na MBOWE ndiye akiongoza jahazi.
Mbowe ana mvuto wa aina yake.
Lissu ni mihemko na jazba. Chama kinahitaji kiongozi wa mipango na hekima sio jazba na muhemko.
 
Hakuna uhuni, hata wasanii wanajua kuna mda wa kukaa kwenye jukwaa na mda wa kuondoka. Ni mda wa Mbowe kuondoka. Wimbo ni mzuri ila umetushosha tunataka wimbo mwingine.
 
Hii sio namna nzuri ya kuaga viongozi
Kwani katiba ya Chadema inaelekezaje,kuhusu namna nzuri ya kuaga viongozi.?.
Zaidi ya chaguzi mbalimbali sioni kama katiba imekihukwa.
Kama una maelezo ya ziada ya namna gani katiba ya Chadema imevunjwa yadadavue hapa.
 
Mbona unamlilia mbowe? Unakumbuka nape na lile sakata lake kwa yule muhuni aliyemtolea bastola? Nape alilalama kuwa amekipigania chama mpaka akaumia halafu wahuni iweje wasitambue mchango wake. Alijibiwa na makada wenzake kuwa ilikuwa ni wajibu wake na alilipwa kwa kazi hiyo. Hata mbowe alifanya hivyo kwa faida ya chama, we unalia nini wakati kesho atatangaza kuhusu kugombea au kutokugombea? Hata akigombea unajuaje kama atashindwa, ile kauli yake ya kujiamini kuwa ataingia mzigoni hukuisikia? Suburi ashindwe ndio uje na hoja hii
 
Lissu anatosha. Mbowe alishatangaza atastaafu mwaka 2023, sijui Nini kilibadilika.
 
Lissu Muda gani alikuwa nje.

Muda wote chama kina kwenda na MBOWE ndiye akiongoza jahazi.
Mbowe ana mvuto wa aina yake.
Lissu ni mihemko na jazba. Chama kinahitaji kiongozi wa mipango na hekima sio jazba na muhemko.

Mihemko unayo wewe.
 
Mbona ccm hakunaga uchaguzi??
 
Kwani katiba ya Chadema inaelekezaje,kuhusu namna nzuri ya kuaga viongozi.?.
Zaidi ya chaguzi mbalimbali sioni kama katiba imekihukwa.
Kama una maelezo ya ziada ya namna gani katiba ya Chadema imevunjwa yadadavue hapa.
Badala ya kustaafishwa kwa heshima anafukuzwa kama mbwa
 
Hivi mbowe anastaafishwa kwa njia ipi? Labda wazee wa chadema kama wapo wangemwomba asigombee
 
Kule kukaa katika nafasi hiyo kwa muda mrefu ni heshima kubwa! Na kama angetaka kuondoka kwa heshima angeachia Uongozi kwa hiari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…