Hivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi