CHADEMA haina katibu mwenezi?

CHADEMA haina katibu mwenezi?

Erythrocyte ndio mwenezi wao!
Hapana. NO. STOP.😅 Sema Mwenezi wa FAM sio TAL.

Huyo ndie alituharibia. Mbinu zake hazifanyi kazi na ni Hasara tu kwa Chama.
He is a persona non grata
Mtu ambaye hawezi kufika ofisini ama kupiga kura cc wa nn?
 
Hivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?

Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?

Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Kwa vile kwa siku unaanzisha nyuzi zaidi ya kumi za Chadema utafaa wewe andika barua kwa Katibu Mkuu kuomba nafasi hiyo mimi nitakuwa mmoja wa wadhamini wako.
 
Hivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?

Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?

Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Lissu siyo kiongozi ni mwanaharakati. Kazi anayoweza ji kukosoa wenzake
 
Hivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?

Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?

Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Yaani hata mitandaoni wanamtegemea Erythrocyte ambaye ni chawa wa Mbowe!
 
Back
Top Bottom