PropagandaAeneze nini?
Team Mbowe au Team Gombe? Punguza jazba....budget chama lazima iangaliwe....wanajipanga tuliza mshonooHivi mheshimiwa lissu chama anakiendesha vipi?
Katibu mwenezi mwenyewe?
Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya chadema?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Nan una fikir anaweza iyo kaziPropaganda
Mimi na pend3keza Malaria awe mwenezi wetu.Hivi mheshimiwa lissu chama anakiendesha vipi?
Katibu mwenezi mwenyewe?
Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya chadema?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Mbona mnajidai kitofahamu kama yupo mweneziErythrocyte ndio mwenezi wao!
SIo huyo nimemtaja!Mbona mnajidai kitofahamu kama yupo mwenezi
Wewe ni CHADEMA? Ile meeting ya juzi hukuiona au hukuifuatilia? Kile NI chama na ule ni uongozi mpya wa chama kitaifa sio uongozi wa kikao cha harusiHivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Propaganda =Uongo. Na uongo upo kwa akina MakalaPropaganda
Hivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
LemaNan una fikir anaweza iyo kazi
Tumaini Makene wa CCM..sijawahi kusikia Chadema ina Katibu Mwenezi.
Tunasafisha Nyumba na tunakusii uwe na subira mdogomdogo.Hivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Asanti sana.Nanukuu "Baada ya Mkutano huu Mkuu, tutahitaji kujifungia ili kujipanga, ili kuja na kauli Moja ya Chama, sio kauli ya Mwenyekiti, ni kauli ya Chama..."
Tusubiri wamalize internal arrangements
Tutegemee Chadema mpya kabisa kufikia August, 2025Asanti sana.