Hapana. NO. STOP.π Sema Mwenezi wa FAM sio TAL.Erythrocyte ndio mwenezi wao!
Nguvu mpya na mbinu mpya.Tutegemee Chadema mpya kabisa kufikia August, 2025
Hakika, battle yake on the ground haitakuwa ya kitotoNguvu mpya na mbinu mpya.
PAMOJA.
utaona, subira braza. Hatuezi kufanya siasa za matusi na kuzodoana. NEVER NEVER AGAINπHakika, battle yake on the ground haitakuwa ya kitoto
PointiKila chama kina muundo wake wa uongozi sio lazima kifananishwe na chama kingine
ππππutaona, subira braza. Hatuezi kufanya siasa za matusi na kuzodoana. NEVER NEVER AGAINπ
Chadema nyepenyepeTutegemee Chadema mpya kabisa kufikia August, 2025
Wameanza na Kampeni Mnyika awe kamishina wa Tume ya Uchaguzi!!! Yaani wameanza na wrong footing!!Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Kwa vile kwa siku unaanzisha nyuzi zaidi ya kumi za Chadema utafaa wewe andika barua kwa Katibu Mkuu kuomba nafasi hiyo mimi nitakuwa mmoja wa wadhamini wako.Hivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Ila akatibiwe kwanza hiyo Malaria Sugu yakeMimi na pend3keza Malaria awe mwenezi wetu.
Lissu siyo kiongozi ni mwanaharakati. Kazi anayoweza ji kukosoa wenzakeHivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
kwakuwa hawawezi hata kufundishika tena kilichobaki ni kuwakosoa ili wajifunze kwa lazima na sii hiyari tena.Lissu siyo kiongozi ni mwanaharakati. Kazi anayoweza ji kukosoa wenzake
Yaani hata mitandaoni wanamtegemea Erythrocyte ambaye ni chawa wa Mbowe!Hivi mheshimiwa Lissu chama anakiendesha vipi? Katibu mwenezi mwenyewe? Mbona mambo yanaaza kuharibika mapema mno?
Kama ndani ya chama yupo mwaka 20 kama kiongozi wa juu, inafika mwezi anashindwa kuchagua uongozi uliotimia au haamini watu ndani ya CHADEMA?
Mbowe hayupo tena kwa kumbebesha lawama, tunataka kuona Chama kinaendeshwa kwa uwazi
Tusubiri warudi huko kwenye kujichimbia tuone jipya watakalotuleteaChadema nyepenyepe
HahaahaaWameanza na Kampeni Mnyika awe kamishina wa Tume ya Uchaguzi!!! Yaani wameanza na wrong footing!!
Hawajatoka?Tusubiri warudi huko kwenye kujichimbia tuone jipya watakalotuletea
Bado wanajipangaHawajatoka?