CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

Wanabodi,

Haya ninayoyaandika hapa, yanatoka ndani kabisa ya moyo wangu na ninaandika kwa uchungu!, kwa mtu yoyote ambaye alikuwa na matumaini ya labda 2015, tunaweza kupata mabadiliko, akiangalia hii trend ya Chadema inayokwenda nayo sasa, atakubaliana na mimi, kuwa the trend is not good at all!, 2015 is just around the corner!, I'm afraid, by the time Chadema ita realize imefanya nini, ilipaswa kufanya nini, sasa inafanya nini, na 2015 itafanya nini!, it will be too little too late!, huu ni ukweli mchungu sana kumeza, kuwa Chadema Haikujipanga (jana), Chadema Haijajipanga (leo), Chadema Haijipangi (kesho), na amini nawaambieni!, Chadema Haitajipanga (2015), hivyo huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza kuwa 2015, ni CCM tena.

Hitimisho: Chadema na "Karma!"
Namalizia kwa kusisitiza, Chadema katika kupanga mambo yenu, zingatieni sana hii kitu inaitwa "Karma", msiidharau kabisa!, karma is real!.
Do the right thing or else!.

Jipangeni

Paskali
Tayari Mafunzo hayo yameanza kwenye Kanda imara ya Nyasa na kwamba yatakuwa yanafanyika kwenye maeneo mbali mbali

Mafunzo haya hayana uhusiano wowote na Operesheni haki , haya ni mafunzo ya kuwaongezea maarifa na uwezo viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima , hasa ikizingatiwa kwamba kwa sasa CHADEMA ndio inayotoa viongozi wa Nchi

# HATUTANII
This is good, chelewa ufike, hili lilipaswa kufanyika toka 2010 ili 2015 Chadema ichukue nchi, japo sasa its already too little too late, but something is better than nothing.

P
 
Nafasi zilizobaki ni UDAS TUU ila kumbuka ukiwa ccm ukiitukana CHADEMA huteuliwi Ila ukiwa CHADEMA UKIITUKANA ccm unanunuliwa kwa pesa na cheo unapewa
 
CHADEMA mnashangaza sana mnaposhindwa kabisa kuitumia kila golden opportunity inayojitokeza kumdhoofisha adui yenu mkuu!

Seriously, it’s high time you hired effective coaches. Vinginevyo, mtaendelea kuchezea timu ya adui yenu bila nyie wenyewe kujitambua!
Mkuu Pulchra Animo , kuwashauri hawa watu, ni you are just wasting your time!, hawashauriki!.

Chadema ni sikio la kufa
tena tuliwaambia siku nyingi...
P
 
Wanabodi,
Nakumbuka vuzuri nilimweleza resevations zangu kwa "Chadema kutokujipanga" na haswa kuhusu utaratibu wake wa kupata viongozi wake na wagombea!.
Nilisema nimenote wengi wa wagombea wao, ni wagombea sadakalawe!, baada ya kukosa kwenye ile sadalawe ya kule, then hukimbilia huku na ndivyo Dr. alivyoingia Chadema. Nikasema huwezi kushinda uchaguzi na kushika dola kama hauna able people behind!. Nikashauri, kama kweli Chadema kina nia ya dhati ya kushika dola 2015, lazima kitayarishe watu, by investing in people, hakiwezi kushika dola kwa kuwategemea wagombea wanaopatikana kwa game of chance!. Lazima Chadema ifanye "head hunting" ya able people na ikikosa "able people", ifanye hata spotting na grooming from grassroot, ili ijenge kada yake ya viongozi iliyowalea na kuwakuza kichadema, ambao hawa watakuwa ni waaminifu na tegemeo lake, na sio kusubiria "makapi" ya CCM!.

Hitimisho: Chadema na "Karma!"
Namalizia kwa kusisitiza, Chadema katika kupanga mambo yenu, zingatieni sana hii kitu inaitwa "Karma", msiidharau kabisa!, karma is real!.
Do the right thing or else!.
Jipangeni

Paskali
Hawa jamaa zangu sijui kwanini huwa hawajipangagi!.
Hata katika hili suala la wabunge 19, Chadema hawakujipanga!, hivyo sasa watapangwa!.
Kwa vile Chadema ndio the main opposition party, as the ruling party in waiting, kama mambo ndio hivi, inategemea nini?.
P
 
Hawa jamaa zangu sijui kwanini huwa hawajipangagi!.
Hata katika hili suala la wabunge 19, Chadema hawakujipanga!, hivyo sasa watapangwa!.
Kwa vile Chadema ndio the main opposition party, as the ruling party in waiting, kama mambo ndio hivi, inategemea nini?.
P
Mr mayala a.k.a NJAA embu tufafanulie kidooogo kuhusu tukio la 2017 bunge kubishana na mahakama kuhusu wabunge wa CUF ikakataa kuwapokea ...maana wewe miaka yote ni chadema tu maskini ya Mungu hamnaga vyama vingine?
 
Huyu pascal njaa! teuzi ataendelea kuziskia kwa wengine hata huko lumumba zile buku saba saba skuizi hawampi wamemgundua jamaa ni poyoyo na mpuuzi nchini. hivi kweli kwa think tank walio chadema wakiongozwa na kamanda wa mapambano ya kidemokrasia Tanzania mheshimiwa freeman mbowe leo hii pascal njaa eti anajua na ni bora kuwazidi wote leo hii poyoyo njaa anayaona mawazo yake ni bora kuliko maamuzi ya taasisi ahhhhh kweli Tanzania bado tunasafari Ndefu sana yaani huyu ni mwandishi wa udaku ilitakiwa avalishwe gauni eti na anafamilia kabisa sijui familia yako bwana pascal njaa inajivunia nini toka kwako huenda ukirudi kwako watoto wanakufananisha na bata mbovu maana huna cha kuwapa wala kuwashauli zaidi kwamba wanajua baba yao ni mbeya wa nchi yaani we jamaa ni hopeless nchi hii, akili yako ya ujira wa 7000 kwa siku unainanga kila kukicha chadema, wewe umeifanyia nini nchi hii huenda huna hata gari wala miradi ya maana mheshimiwa mbowe na chadema kiujula wana legacy kubwa sana nchi hii leo hii we nani wa kuibeza chadema maana kutwa unapayuka hovyo hovyo binafsi maisha yako ni magumu sana tena huna kitu kwa upuuzi wako wa kijinga leo hii unaenda kuwa babu wa wajukuuu lakini ni babu mpumbavu asie na maono wala fikra jitu zima kutwa lipo linaropoka hovyo” jipige kifua mala tatu afu Sema “nchi hii mimi ni utuporo mtupu tena uharo”. Nchi inakabiliwa na mambo mengi kama uchumi mbovu, miundombinu hafifu, ukosefu wa ajira, mfumuko wa bei, umaskini, ujinga (kundi hili wewe ni no.1), huduma hafifu za afya, elimu iliyo nje ya wakati, matatizo ya umeme, wizi na ufisadi, riba kubwa katika mabenki, matatizo katika kilimo, ukosefu wa nyenzo za uvuvi, hatuuzi kama tunavonunua, ukosefu wa viwanda vikubwa, sekta ya utalii kupokea wateja wachache, ungetumia hata 5% katika kujadili machache katika haya ungeokoa nchi kwa mawazo ya wadau ila mtu mzima usie na matumaini kutwa kutumia mda wako na rasilimali za buku saba saba toka lumbumba ili uwaponde na kuwakashfu chadema na viongozi wao, wewe binafsi umeifanyia nini nchi hii kama sio uharo na upuuzi kisa ujira wa 7000
 
Paskali usipooze mpira tell CHADEMA the bitter truth that they are not only empty shell but also disgrace to this Nation!
They no longer command any respect due to their childish politics!
Politics is the game of give and take lakini CHADEMA wana practice primitive politics za kuzira na kukumbia majadiliano!
Hili tumewaambia sana humu, they never learn!. CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena! na kuhusu hii tabia yao ya kususa susa, pia tuliisha wapaka humu Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?
P
 
Wanabodi,

Haya ninayoyaandika hapa, yanatoka ndani kabisa ya moyo wangu na ninaandika kwa uchungu!, kwa mtu yoyote ambaye alikuwa na matumaini ya labda 2015, tunaweza kupata mabadiliko, akiangalia hii trend ya Chadema inayokwenda nayo sasa, atakubaliana na mimi, kuwa the trend is not good at all!, 2015 is just around the corner!, I'm afraid, by the time Chadema ita realize imefanya nini, ilipaswa kufanya nini, sasa inafanya nini, na 2015 itafanya nini!, it will be too little too late!, huu ni ukweli mchungu sana kumeza, kuwa Chadema Haikujipanga (jana), Chadema Haijajipanga (leo), Chadema Haijipangi (kesho), na amini nawaambieni!, Chadema Haitajipanga (2015), hivyo huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza kuwa 2015, ni CCM Tena!.

Tangu 2010, Chadema Hamkujipanga!.
Mara Baada ya kumalizika uchaguzi mkuu wa 2010, uliofufua kwa kiwango kikubwa matumaini ya uwezekano wa Chadema kuchukua nchi, 2015, mimi ni miongoni mwa wana jf wa mwanzo kutinga viwanja vya Bunge Dodoma, kuwapongeza baadhi ya makamanda waliokata vigogo wa CCM!, nikatoa tathimini yangu kuwa kwenye baadhi ya maeneo, Chadema imeshinda uchaguzi, sio kwa sababu ilijipanga vizuri!, no!, nikasema Chadema imeshinda uchaguzi katika baadhi ya maeneo kwa sababu tuu CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!. hapa Chadema niliwaambia hivi


Hakuna ubishi kuhusu kitakachompata yoyote atakayeteta ukosoaji wa Chadema humu jukwaani, na mimi ndicho kilichonikuta, na miongoni mwa walionijibu uzi wangu huo, ni Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Wibrod Silaa, alinijibu hivi

Kiukweli baada ya jibu hili, mimi nikaishia kuwa mdogo tuu kama piriton, ukijumlisha na comments wa wengine, kwa kweli nilikuwa kama sisimizi!.

Hii maana yake ni nini, Chadema wakiambiwa ukweli, badala ya kusikiliza hoja na kuzifanyia kazi, wao ndio kwanza wana react na hawasikii!, kwenye uzi huo, hoja kuu nilisema Chadema isiendelee kutegemea kutwaa majimbo kwa sababu tuu CCM imechokwa!, ili Chadema ishinde kihalali very good clear and sweet victory, ni pale wananchi wanapokuwa wamehamasika na kufanya informed decision kuwa tunaichagua Chadema kwa sababu hizi, hizi na hizi, hivyo Chadema lazima ije na mkakati, itafanya nini tofauti na kinachofanywa na serikali ya CCM, ili wanaoichagua, wajione wanachagua chama mbadala.

CCM Imechokwa:
Kwenye uzi huo nilisema CCM imechokwa lakini imekuwa ikishinda chaguzi mbalimbali sio kwa sababu inapendwa sana!, no way, nilisema CCM imekuwa ikishinda chaguzi nyingi kutokana na mazoea, huku iki take advantage ya ignorance ya Watanzania, hawana choice to choose from kwa kushindanisha sera, kutokana na ujinga, na umasikini uliotopea, wengi wa wapiga kura, hawanauwezo wa kushindanisha sera, wala kujua wanachagua kwa sababu gani, bali wanachagua kwa "shibe" ya leo!, yeyote atakayekushibisha leo, huyo ndie!, hata kama atakulaza tena njaa miaka mitano ijayo, na ikifika, kama kawaida atarudi tena na T-shirt na kofia na ile shibe ya siku moja!, tutaichagua tena!, kama sio ignorance ni nini?!.

Kwenye uzi huo nilipendekeza dawa ya kuitibu CCM iliyochokwa kama ifuatavyo


Hakuna mwana CCM yoyote aliyekanusha kuchokwa kwa CCM, lakini haukupita muda, hiyo dose niliyoipendekeza ilidungwa CCM!, wala sijitambi kuwa CCM inafuatilia jf, au ndio chanzo cha mabadiliko hayo chanya, ukiona mbeba pakacha linavunja, ukamshtua mbebaji kuwa pakacha linavuja, akasimama kivulini na kuliziba kisha akaendelea na safari yake!, wewe unaweza kujiaminisha kuwa nimemsaidia yule mbeba paka kumtaarifu kuvuja kwa pakacha lake!, kumbe ukweli ni kuwa mbemba pakacha ulijua pakacha linavuja lakini akapanga ngoja afike kivulini ndipo alitue kuliziba na kupumzika kidogo!, hivyo useme usisema mabadiliko yangekuja!.

Kufuatia mabadiliko ya sasa ya CCM, 2015, Chadema isitegemee majimbo ya ubwete wa CCM chovu, na tena isipokuwa makini na baadhi ya wabunge wake haswa wale "vichaa!", CCM inaweza kuwapokonya, only save kwa baadhi ya maeneo ambayo machalii wa kipande hiyo, vichaa ndio huwa machaguo yao,hivyo kwa kadri unavyozidi kuwa kichaa ndivyo unavyozidi kupendwa na kukubalika!.

Uso kwa Uso na Dr. Slaa!.
Niliwahi kwenda ofisini kwa Dr. Slaa for official visit, wakati huo nikiwa utumwani kwenye utumwa fulani, hivyo unapokuwa mtumwa, ukitumwa mahali, unawakilisha kile ulichotumwa na bwana wako aliyekutuma, hivyo sijihesabu kama mimi nilionana na Dr. Slaa!.

Siku tulionana rasmi na kwa nafasi, ni pale tulipokutana tuu mahali, sote tukiwa safarini, tukatokea kujipumzisha mahali na kupata mlo, hivyo kukutana kwa bahati!.

Kwa vile mimi ni mwandishi, kwanza nilimkabili, na kuamsalimia huku nikitanguliza kuomba radhi, maana mahali hapo ni privacy ya mtu, na watu wako na watu wao, hivyo mwandishi kupenyeza penyeza pua its uncalled for!, ila nikakaribishwa!.

Nakumbuka vuzuri nilimweleza resevations zangu kwa "Chadema kutokujipanga" na haswa kuhusu utaratibu wake wa kupata viongozi wake na wagombea!.
Nilisema nimenote wengi wa wagombea wao, ni wagombea sadakalawe!, baada ya kukosa kwenye ile sadalawe ya kule, then hukimbilia huku na ndivyo Dr. alivyoingia Chadema. Nikasema huwezi kushinda uchaguzi na kushika dola kama hauna able people behind!. Nikashauri, kama kweli Chadema kina nia ya dhati ya kushika dola 2015, lazima kitayarishe watu, by investing in people, hakiwezi kushika dola kwa kuwategemea wagombea wanaopatikana kwa game of chance!. Lazima Chadema ifanye "head hunting" ya able people na ikikosa "able people", ifanye hata spotting na grooming from grassroot, ili ijenge kada yake ya viongozi iliyowalea na kuwakuza kichadema, ambao hawa watakuwa ni waaminifu na tegemeo lake, na sio kusubiria "makapi" ya CCM!.

Kusema ukweli, Dr. Slaa alinieleza a very fine na promising strategies, zikiwemo succession plan, pia alinieleza msimamo wake binafsi kuhusu kugombea tena urais 2015!, hivyo mimi ni mmoja wa watu wachache sana wanaujua msimamo wa Dr. Slaa kwenye kugombea urais 2015 from the horses mouth!. (Naomba nisiutaje humu kwa sababu mazungumzo yetu yalikuwa informal hivyo ni off the record).

Chadema Haijajipanga!.
Matokeo mabaya Chadema katika baadhi ya chaguzi ndogo za ubunge na udiwani, ni uthibitisho kuwa Chadema bado haijajipanga!. Hata ushindi wa Chadema Arumeru kwa kijana Nasari, umechangiwa na support ya vita vya wenyewe kwa wenyewe CCM ndani kwa ndani kulikomoa chaguo la yule "jamaa yangu". Kama wengi mtakuwa na maswali, Chadema ijipange kwenye nini, mnaweza kunitembelea hapa nimeeleza kila kitu!. Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...

Chadema Hamjipangi!.
Hata baada ya kipigo kitakatifu cha Kalenga, kuna kitu nimewashauri Chadema kuhusu uchaguzi wa Jimbo la Chalinze!, ili Chadema kujionyesha chenyewe ni kidume, au kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi, bado itang'ang'ana na kuendelea kutumbukiza pua Chalinze!, angalau kwa Kalenga picha ilikuwa haisomeki sana!, Chalinze ndio maeneo ya strong hold ya wale vibonde niliowazungumzia kule ambao ndio mtaji wa CCM!. Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze: CHADEMA Muungeni mkono mgombea ...

Uchaguzi kama vita!, ukijijua huwezi kushinda, ule msemo wa "no retreat, no surrender" wa "kupigana hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike!" huo ndio huo unaitwa "ushujaa!" alikufa vitani akiipigania nchi yeke!, mkiisha malizika wote, adui atapata walk over victory kuitwaa nchi yenu yote na nyinyi nyote kugeuka mateka!. Wapiganaji makini ni wale wakishajipima na kujiona hawawezi, hurudisha majeshi nyuma (retreat) na kujipanga upya!.
Chadema wakikubali ku retreat na kujipanga upya, wata boost kidogo morali ya wapiganaji wake, kiliko kuendelea kupeleka vikosi vyake vitani na kuishia kuwa wiped!.

Na Kwa 2015!, Chadema Haitajipanga!.
Kwa maoni yangu, Bunge hili Maalum, likifuatiwa na kikao cha Bunge, then kura ya maoni, then uchaguzi wa serikali za mitaa!, then uchaguzi wa ndani wa Chadema (uongozi uliopo madarakani kwa mujibu wa katiba ya Chadema, umalizika mwaka huu baada ya kuuongezea mwaka mmoja!, katiba ya Chadema haikutoa any possibility ya extra extension, japo uongozi wa Chadema unaweza kumuandikia Msajili na kulitaja Bunge Maalum ni "force majeure" hivyo kutofanya uchaguzi wake wa ndani kihalali kabisa!". Ndipo ufuate uchaguzi mkuu, huku kuna ile pending case!!. Kikweli kabisa, my honest opinion, kwa time iliyobakia kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015, mambo yaliyopo mbele ya Chadema ni too much! kwa Chadema kujipanga and the time is too little too late!, hivyo naiona wazi kabisa CCM ikirudi kujichukulia nchi kiurahisi kama imeokota!.

Hitimisho: Chadema na "Karma!"
Namalizia kwa kusisitiza, Chadema katika kupanga mambo yenu, zingatieni sana hii kitu inaitwa "Karma", msiidharau kabisa!, karma is real!.
Do the right thing or else!.

Poleni kwa ya Kalenga!.

Jipangeni

Paskali

NB. Paskali, ni mwanachama wa chama cha siasa na mtazamaji mzuri tuu wa hii game la siasa kazi yake ikiwa kutazama tuu!, na kueleza, na kutoa ushauri wa bure!.
Paskali, CDM Wana upungufu mkubwa sana ktk mkakati thabiti wa kuchukua Dola na kupata viongozi.

Ikitokea tumeupata Katiba mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA,

Sitoshangaa MGOMBEA urais wa CDM akatoka CCM!!!!
 
Wanabodi,

Haya ninayoyaandika hapa, yanatoka ndani kabisa ya moyo wangu na ninaandika kwa uchungu!, kwa mtu yoyote ambaye alikuwa na matumaini ya labda 2025, tunaweza kupata mabadiliko, akiangalia hii trend ya Chadema inayokwenda nayo sasa, atakubaliana na mimi, kuwa the trend is not good at all!, 2025 is just around the corner!, I'm afraid, by the time Chadema ita realize imefanya nini, ilipaswa kufanya nini, sasa inafanya nini, na 2025 itafanya nini!, it will be too little too late!, huu ni ukweli mchungu sana kumeza, kuwa Chadema Haikujipanga (jana), Chadema Haijajipanga (leo), Chadema Haijipangi (kesho), na amini nawaambieni!, Chadema Haitajipanga (2025), hivyo huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza kuwa 2015, ni CCM Tena!.
P
Siku zote nimekuwa nawalaumu kuwa hawakujipanga, sasa tusubirie siku ya Jumamosi kama Mbowe atakubali wajipange au...
P
 
Wanabodi,

Uso kwa Uso na Dr. Slaa!.
Niliwahi kwenda ofisini kwa Dr. Slaa for official visit, wakati huo nikiwa utumwani kwenye utumwa fulani, hivyo unapokuwa mtumwa, ukitumwa mahali, unawakilisha kile ulichotumwa na bwana wako aliyekutuma, hivyo sijihesabu kama mimi nilionana na Dr. Slaa!.

Siku tulionana rasmi na kwa nafasi, ni pale tulipokutana tuu mahali, sote tukiwa safarini, tukatokea kujipumzisha mahali na kupata mlo, hivyo kukutana kwa bahati!.

Kwa vile mimi ni mwandishi, kwanza nilimkabili, na kuamsalimia huku nikitanguliza kuomba radhi, maana mahali hapo ni privacy ya mtu, na watu wako na watu wao, hivyo mwandishi kupenyeza penyeza pua its uncalled for!, ila nikakaribishwa!.

Nakumbuka vuzuri nilimweleza resevations zangu kwa "Chadema kutokujipanga" na haswa kuhusu utaratibu wake wa kupata viongozi wake na wagombea!.
Nilisema nimenote wengi wa wagombea wao, ni wagombea sadakalawe!, baada ya kukosa kwenye ile sadalawe ya kule, then hukimbilia huku na ndivyo Dr. alivyoingia Chadema. Nikasema huwezi kushinda uchaguzi na kushika dola kama hauna able people behind!. Nikashauri, kama kweli Chadema kina nia ya dhati ya kushika dola 2015, lazima kitayarishe watu, by investing in people, hakiwezi kushika dola kwa kuwategemea wagombea wanaopatikana kwa game of chance!. Lazima Chadema ifanye "head hunting" ya able people na ikikosa "able people", ifanye hata spotting na grooming from grassroot, ili ijenge kada yake ya viongozi iliyowalea na kuwakuza kichadema, ambao hawa watakuwa ni waaminifu na tegemeo lake, na sio kusubiria "makapi" ya CCM!.

Kusema ukweli, Dr. Slaa alinieleza a very fine na promising strategies, zikiwemo succession plan, pia alinieleza msimamo wake binafsi kuhusu kugombea tena urais 2015!, hivyo mimi ni mmoja wa watu wachache sana wanaujua msimamo wa Dr. Slaa kwenye kugombea urais 2015 from the horses mouth!. (Naomba nisiutaje humu kwa sababu mazungumzo yetu yalikuwa informal hivyo ni off the record).

Chadema Haijajipanga!.
Matokeo mabaya Chadema katika baadhi ya chaguzi ndogo za ubunge na udiwani, ni uthibitisho kuwa Chadema bado haijajipanga!. Hata ushindi wa Chadema Arumeru kwa kijana Nasari, umechangiwa na support ya vita vya wenyewe kwa wenyewe CCM ndani kwa ndani kulikomoa chaguo la yule "jamaa yangu". Kama wengi mtakuwa na maswali, Chadema ijipange kwenye nini, mnaweza kunitembelea hapa nimeeleza kila kitu!. Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...

Chadema Hamjipangi!.
Hata baada ya kipigo kitakatifu cha Kalenga, kuna kitu nimewashauri Chadema kuhusu uchaguzi wa Jimbo la Chalinze!, ili Chadema kujionyesha chenyewe ni kidume, au kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi, bado itang'ang'ana na kuendelea kutumbukiza pua Chalinze!, angalau kwa Kalenga picha ilikuwa haisomeki sana!, Chalinze ndio maeneo ya strong hold ya wale vibonde niliowazungumzia kule ambao ndio mtaji wa CCM!. Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze: CHADEMA Muungeni mkono mgombea ...

Uchaguzi kama vita!, ukijijua huwezi kushinda, ule msemo wa "no retreat, no surrender" wa "kupigana hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike!" huo ndio huo unaitwa "ushujaa!" alikufa vitani akiipigania nchi yeke!, mkiisha malizika wote, adui atapata walk over victory kuitwaa nchi yenu yote na nyinyi nyote kugeuka mateka!. Wapiganaji makini ni wale wakishajipima na kujiona hawawezi, hurudisha majeshi nyuma (retreat) na kujipanga upya!.
Chadema wakikubali ku retreat na kujipanga upya, wata boost kidogo morali ya wapiganaji wake, kiliko kuendelea kupeleka vikosi vyake vitani na kuishia kuwa wiped!.

Hitimisho: Chadema na "Karma!"
Namalizia kwa kusisitiza, Chadema katika kupanga mambo yenu, zingatieni sana hii kitu inaitwa "Karma", msiidharau kabisa!, karma is real!.
Do the right thing or else!.

Jipangeni

Paskali
Chadema ya Mbowe haikujipanga, Lissu kama Lissu hana uwezo wa kuipanga Chadema ikajipanga, he needs able people kumsaidia kujipanga!. Chadema ina hitaji ma strategists kupanga stratejia za ushindi.

Kitu kilochomfanya TAL kumshinda, FAM kipo na kinaweza kumfanya TAL kumshinda mgombea wa CCM, 2025 despite matumizi ya mbinu zote za KInapenape, lakini hata akishinda urais, je ana able people wa kuunda serikali?.

Chadema sasa wanajipanga, wajipange!.
P
 
Chadema ya Mbowe haikujipanga, Lissu kama Lissu hana uwezo wa kuipanga Chadema ikajipanga, he needs able people kumsaidia kujipanga!. Chadema ina hitaji ma strategists kupanga stratejia za ushindi.

Kitu kilochomfanya TAL kumshinda, FAM kipo na kinaweza kumfanya TAL kumshinda mgombea wa CCM, 2025 despite matumizi ya mbinu zote za KInapenape, lakini hata akishinda urais, je ana able people wa kuunda serikali?.

Chadema sasa wanajipanga, wajipange!.
P
Pascal dunia imebadirika sana. Achana na hizi fikra mfu zinazotumika na CCM kuwarubuni na kuwatisha wajinga wa Tanzania.

Nchi hii ina resources nyingi sana za kuendesha Serikali. Ni ufedhuli tu wa CCM yenu kutopendelea smart people na kuendekeza machawa ndo unawafanya muone upinzani hakuna watu.

Kwa kifupi nchi inahitaji Katiba Bora inayojenga mifumo imara tu kuweza kujiendesha.

Lissu akiweza kutupatia Katiba Bora imeisha hiyo.
 
Back
Top Bottom