Pre GE2025 CHADEMA hamna uwezo wa kuifanya chochote CCM kwa namna yeyote ile

Pre GE2025 CHADEMA hamna uwezo wa kuifanya chochote CCM kwa namna yeyote ile

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Ukiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi.

Chadema yao matamko, maandamano na mwisho wa yote huishia Ikulu kuhongwa juice na biscuits kama vitoto vya chekechekea vile.

Ukweli ni kwamba kwa namna yeyote ile Chadema kwa CCM ni sawa na kitoto kinachonyonya kwa mama yake halafu kinaachishwa ziwa kinaanza kumpiga makofi kifuani mama yake kikidhani kinamuumiza.

CCM ni lidude fulani hatari ambalo mtoto Chadema HUNA CHA KULIFANYA HATA LIKIKUFANYA CHOCHOTE!

Mtaendelea kusumbua watu eti wawaonee huruma kwa kitu ambacho hamna uwezo wa kukifanya chochote.

PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
 
Unakutana na mtu anaandika comment za kishujaa kwenye mitandao ila kutana nae live kondoo anahafadhali

..inategemea mnakutana ktk mazingira gani.

..kwa mfano Chadema wanatoa HOJA za kisiasa halafu Samia na CCM wanatuma POLISI wenye SILAHA.

..Katika mazingira hayo unataka Chadema wapambane na Polisi? Chadema hawana silaha.

..Kwasababu siasa ni HOJA basi Samia ajitokeze afanye MDAHALO na viongozi wenzake wa upinzani.

..Sasa tujiulize kwanini Samia hajitokezi kufanya midahalo? Je, Samia ni muoga?

..Kama ni vipi basi kuwe na MDAHALO wa Polisi na Chadema, huku Polisi wakitetea CCM.
 
..inategemea mnakutana ktk mazingira gani.

..kwa mfano Chadema wanatoa HOJA za kisiasa halafu Samia na CCM wanatuma POLISI wenye SILAHA...
Lakini mashujaa hawa wa kwenye keyboard kwenye mitandao wanasema hatuogopi polisi na tutaandamana mwisho wa siku hawatokei barabarani
 
Na ndiyo maana nimesema Chadema wanazidiwa kila kitu na LIDUDE CCM huku wakiwa hawana namna yeyote ya kulifanya.
Usisahau pia wkt unaongea huu utumbo ukumbuke na TANU nchini Kenya kilikuwa chama tawala kwa miaka mingi na lilikuwa dude kubwa kwelikweli,Leo Tanu iko wapi?
 
Na ndiyo maana nimesema Chadema wanazidiwa kila kitu na LIDUDE CCM huku wakiwa hawana namna yeyote ya kulifanya.
Kama mna akili simuweke Polisi na TISS kando? Muone mlivyokua wepesi? Kama sio kusaidiwa na Jeshi la Polisi, Tiss Na PCCB (kutisha Watu) mbona mngekua mnalia muda huu??
 
Back
Top Bottom