Pre GE2025 CHADEMA hamna uwezo wa kuifanya chochote CCM kwa namna yeyote ile

Pre GE2025 CHADEMA hamna uwezo wa kuifanya chochote CCM kwa namna yeyote ile

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makaburu enzi za ubaguzi wa rangi, wamewahi bwata na tambo kama hizi. Muda unatabja ya kuhukumu kwa haki.
 
Ukiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi.

Chadema yao matamko, maandamano na mwisho wa yote huishia Ikulu kuhongwa juice na biscuits kama vitoto vya chekechekea vile.

Ukweli ni kwamba kwa namna yeyote ile Chadema kwa CCM ni sawa na kitoto kinachonyonya kwa mama yake halafu kinaachishwa ziwa kinaanza kumpiga makofi kifuani mama yake kikidhani kinamuumiza.

CCM ni lidude fulani hatari ambalo mtoto Chadema HUNA CHA KULIFANYA HATA LIKIKUFANYA CHOCHOTE!

Mtaendelea kusumbua watu eti wawaonee huruma kwa kitu ambacho hamna uwezo wa kukifanya chochote.

PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
We pimbi Ukifungua kitabu Cha biblia akiitwa kutoka, utakutana na story ya pharaoh na Wana wa Israeli

Pharaoh aliamini ana nguvu nyingi kuliko mtu yoyote hivyo pamoja na miujiza ya Musa alikaidi kuwapa ruksa waisraeli

Kilichomkuta pharaoh ni historia mpaka Leo

Hizi story zipo kutufundisha na kutukumbusha tusiwe na viburi especially tunapo simamia haki za watu wengine tutakuja kujuta

Ipo siku ccm watajuia hii kiburibya kijinga
 
Back
Top Bottom