Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wewe ndio Aina ya Wana-CCMHao uliowataja ndiwo wanakamilisha UDUDE WA LI CCM lenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio Aina ya Wana-CCMHao uliowataja ndiwo wanakamilisha UDUDE WA LI CCM lenyewe.
Lakini mashujaa hawa wa kwenye keyboard kwenye mitandao wanasema hatuogopi polisi na tutaandamana mwisho wa siku hawatokei barabarani
Nje ya mbeleko ya vyombo vya dola nyie ni warembo tu. Na hiyo mbeleko ya dola itafika mwisho. Msiombe watu wakapata akili ya kushika silaha, au kuwekea sumu hao maofisa wa polisi na familia zao, mtafurahia show.Ukiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi..
Hivi kumbe wewe ni makumaku jombaa?Unakutana na mtu anaandika comment za kishujaa kwenye mitandao ila kutana nae live kondoo anahafadhali
Labda Yanga na Simba zife.Nje ya mbeleko ya vyombo vya dola nyie ni warembo tu. Na hiyo mbeleko ya dola itafika mwisho. Msiombe watu wakapata akili ya kushika silaha, au kuwekea sumu hao maofisa wa polisi na familia zao, mtafurahia show.
Ukiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi.
Chadema yao matamko, maandamano na mwisho wa yote huishia Ikulu kuhongwa juice na biscuits kama vitoto vya chekechekea vile.
Ukweli ni kwamba kwa namna yeyote ile Chadema kwa CCM ni sawa na kitoto kinachonyonya kwa mama yake halafu kinaachishwa ziwa kinaanza kumpiga makofi kifuani mama yake kikidhani kinamuumiza.
CCM ni lidude fulani hatari ambalo mtoto Chadema HUNA CHA KULIFANYA HATA LIKIKUFANYA CHOCHOTE!
Mtaendelea kusumbua watu eti wawaonee huruma kwa kitu ambacho hamna uwezo wa kukifanya chochote.
PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Lidude fulani kama linasaidiwa na vyombo vya ulinzi na usalama na pia kwa kuvunja katiba vitu ambavyo si vya kujivunia. CCM bila vyombo vya ulinzi ni teketeke kama mashoga ya TangaUkiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi.
Chadema yao matamko, maandamano na mwisho wa yote huishia Ikulu kuhongwa juice na biscuits kama vitoto vya chekechekea vile.
Ukweli ni kwamba kwa namna yeyote ile Chadema kwa CCM ni sawa na kitoto kinachonyonya kwa mama yake halafu kinaachishwa ziwa kinaanza kumpiga makofi kifuani mama yake kikidhani kinamuumiza.
CCM ni lidude fulani hatari ambalo mtoto Chadema HUNA CHA KULIFANYA HATA LIKIKUFANYA CHOCHOTE!
Mtaendelea kusumbua watu eti wawaonee huruma kwa kitu ambacho hamna uwezo wa kukifanya chochote.
PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Kama ccm ni imara kuliko chadema basi kilichotokea mbeya hakukuwa na ulazima wa kutokeaUkiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi.
Chadema yao matamko, maandamano na mwisho wa yote huishia Ikulu kuhongwa juice na biscuits kama vitoto vya chekechekea vile.
Ukweli ni kwamba kwa namna yeyote ile Chadema kwa CCM ni sawa na kitoto kinachonyonya kwa mama yake halafu kinaachishwa ziwa kinaanza kumpiga makofi kifuani mama yake kikidhani kinamuumiza.
CCM ni lidude fulani hatari ambalo mtoto Chadema HUNA CHA KULIFANYA HATA LIKIKUFANYA CHOCHOTE!
Mtaendelea kusumbua watu eti wawaonee huruma kwa kitu ambacho hamna uwezo wa kukifanya chochote.
PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Yanga na simba wapi na wapi na ccm? Kama mmeteka viongozi wa hizo team sawa, sio mashabiki.Labda Yanga na Simba zife.
Kivip mkuu?Ni ukweli mchungu lakini.
CCM kwa kura pekee haitoshi kuiondoa.
Kwa sababu wanatumia nguvu mkuu.Kivip mkuu?
Ina mwisho wake masterKwa sababu wanatumia nguvu mkuu.
NdiyoHivi kumbe wewe ni makumaku jombaa?
Ni kweli watanzania wanahitaji mabadiliko, lakin si cdm ilete mabadiliko huku Ina viongoz wa kudumu. Watanzania wanaelewa bwana!! Chama cha kuwakomboa watanzania kinakuja si cdm.Kama ccm ni imara kuliko chadema basi kilichotokea mbeya hakukuwa na ulazima wa kutokea
Kabisa kiongozi.Ina mwisho wake master
Hebu rudia! Hivi DUDE CCM imezoa medali ngapi olympics 2024?Swali ni lini hilo litatukia kwa namna DUDE CCM lilivyojidhatiti huku likisaidiwa na YANGA na Simba?
Wewe una saidiwa na vyombo vya ulinzi chadema utaiweza wapi?Ukiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi.
Chadema yao matamko, maandamano na mwisho wa yote huishia Ikulu kuhongwa juice na biscuits kama vitoto vya chekechekea vile.
Ukweli ni kwamba kwa namna yeyote ile Chadema kwa CCM ni sawa na kitoto kinachonyonya kwa mama yake halafu kinaachishwa ziwa kinaanza kumpiga makofi kifuani mama yake kikidhani kinamuumiza.
CCM ni lidude fulani hatari ambalo mtoto Chadema HUNA CHA KULIFANYA HATA LIKIKUFANYA CHOCHOTE!
Mtaendelea kusumbua watu eti wawaonee huruma kwa kitu ambacho hamna uwezo wa kukifanya chochote.
PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEM
Sisi CHADEMA hatutaki kupimana UBAVU na mtu yeyote,tunachotaka ni WANANCHI waamue.Ukiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi.
Kama chadema hawawezi basi mungu anaweza. Ipo siku majambazi ya kijani ya chama cha matapeli (CCM) yatatokaUkiwasikiliza Chadema wayasemayo vinywani mwao unaweza kudhani wana angalau chochote cha kuifanya CCM kumbe wapi.
Chadema yao matamko, maandamano na mwisho wa yote huishia Ikulu kuhongwa juice na biscuits kama vitoto vya chekechekea vile.
Ukweli ni kwamba kwa namna yeyote ile Chadema kwa CCM ni sawa na kitoto kinachonyonya kwa mama yake halafu kinaachishwa ziwa kinaanza kumpiga makofi kifuani mama yake kikidhani kinamuumiza.
CCM ni lidude fulani hatari ambalo mtoto Chadema HUNA CHA KULIFANYA HATA LIKIKUFANYA CHOCHOTE!
Mtaendelea kusumbua watu eti wawaonee huruma kwa kitu ambacho hamna uwezo wa kukifanya chochote.
PIA SOMA
- CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Inamapungufu ila chadema imezidi sana..CCM inaweza kuondoshwa ikiwa wananchi kwa wingi wao wataipigia kura nyingi Chadema, au chama kingine.