CHADEMA hamna weledi Mdee na Bulaya hata wakianzisha chama chao wanapita ubunge

CHADEMA hamna weledi Mdee na Bulaya hata wakianzisha chama chao wanapita ubunge

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
Kwani lazima wawe wabunge kupitia CHADEMA? inamaana nyie CCM hamtaki wabunge wazuri?
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
Halima pole sana ( Maana wewe ni mzee Halima kwa id fake) ,, kibuli hakijengi, ya nini ulitaka ninyi Covid-19 mbembelezwe pamoja na jeuri mliyoionesha kwenye chama ambacho kimsingi kiliwaweka town!

Pole sana Halima,, kuna maisha baada ya ubunge, acha masikitiko na makasiriko maana mwana kulipewa ni yule mwana kulitafuta
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
Nyie mbona mmewatoa kwenye uwaziri akina Kalemani? Si mlikuwa mnasemaga ni waziri makini na mkawaaminisha watanzania hivyo?
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
Heri ya lawama kama hizo kuliko Fedheha
 
Nguvu waliyokuwa nayo na kuwa na wafuasi wengi ilitokana na nguvu ya CHADEMA, tofauti na hapo hakuna hata mtu ana shobo nao
Unapokuwa Kiongozi unatakiwa Kuonyesha uongozi na Sio tamaa ya pesa!! Kama wao wanajiona ni vidume wakasimame mahali waanzishe mkutano WA kisiasa waone kama watapata wafuasi!!!! Ni muhimu sana kuheshimu taasisi inayokubeba, na Sio kujiona wewe ni WA Muhimu kuliko taasisi
 
Back
Top Bottom