CHADEMA hamna weledi Mdee na Bulaya hata wakianzisha chama chao wanapita ubunge

CHADEMA hamna weledi Mdee na Bulaya hata wakianzisha chama chao wanapita ubunge

Nguvu waliyokuwa nayo na kuwa na wafuasi wengi ilitokana na nguvu ya CHADEMA, tofauti na hapo hakuna hata mtu ana shobo nao
Halijui hilo. Huyo anaweza kuwa alikuwemo kwenye group hilo la covid
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
Mbona mwendazake aliwaibia kura zao kama mliwapenda?
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.

Weledi wa cdm ni kuwaacha hao akina Halima na Bulaya wakapate ubunge kupitia chama kingine.
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ungana nao pengine na wewe utapata
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
Jiunge na wanawake wenzako hao muazishe chama chenu cha upinde wa mvua
 
CHADEMA mnadanganywa Sana.
Na hakika mnadanganywa.

Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee.

Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge.

Poleni,

life is hard, byee.
WAHUNI hao Waanzishe Wafuasi wao wewe ni mmoja wao
 
Back
Top Bottom