Uchaguzi 2020 CHADEMA hampati hata jimbo moja hapa Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 CHADEMA hampati hata jimbo moja hapa Kilimanjaro

Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Hahahaha utakuwa umelewa dadiii
 
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Hahahaha utakuwa umelewa dadiii
 
Eti Mushi Massawe. Acha propaganda za kifala mkuu. Kwasasa siasa ni corona.
Eti Mushi Masawe. Jamaa katengeneza ID ya Mushi Masawe juzi ili kuja kuleta utumbo wake .
Labda CCM muibe kura ila huyo Magufuli alivyombaguzi kwetu wachanga hatumpi kura ng'o
Halafu wewe ndio Yule Mushi uliyezulumu fedha za vikoba za Yule mama aliyelalamika kwa magu akiwa mbezi nini?
 
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais Magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa Hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja Moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Kwahio tukusaidiaje? Hakuna mtu mnafiki kama wewe
 
Jina tu umekosea unakaa kimara uchoshwe na mbunge wa hai hakuna Mushi Masawe. Leo nenda na Kubenea leo si anaondoka .... Nendeni sisi tumewachoka zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom