Uchaguzi 2020 CHADEMA hampati hata jimbo moja hapa Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 CHADEMA hampati hata jimbo moja hapa Kilimanjaro

Moshi mjini ilikosea Sana kuwapa chadema Jimbo,na kwa hakika jambohilo wachaga hawato lirudia tena chaguzi hii

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Hatuna Mushi Masawe. Pia hatuna neno ukabila.
Haya yanaonyesha hii account ni fake.
Tatizo ccm kilimanjaro haitimizi wajibu wao. Imetekwa na wenye njaa wanaojitokeza dakika za mwisho.
Kila kata ina changamoto zake lakini mpaka sasa hakuna mdau mwenye nia aliyefanya lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo no majina ya Koo mbili tofauti huwezi tumia Mara mbili kwa wakati mmoja
 
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Umetumwa na Nani kuwasemea? Shayo Kimaro.
 
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Wewe Mushi Masawe una kura ngapi kwenye uchaguzi ujao?
 
Eti Mushi Massawe. Acha propaganda za kifala mkuu. Kwasasa siasa ni corona.
Hili dasha linadhani Mushi na Massawe ni majina kama Happy na Musa. Lenyewe limejiunga jana na kuanzisha uzi. Haliwezi kutofautisha kati ya "l" na "r" i.e halijui tofauti kati ya "ajili" na "ajiri".
 
Kwanza wewe sio wa Kilimanjaro. Mwambie mama yako akueleze ukweli baba yako wa Kibiolojia na si huyo mlezi. Hakuna Mchaga anaeshangilia treni wakati ilikuwepo toka enzi za ukoloni. Pili treni hiyo imeongeza ajira Kilimanjaro?? Tatu maisha sio siasa tu. Kuna maisha bora zaidi ya unavyofikiri kulingana na umri wako na pia uwezo wako wa kufikiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jadili hoja iliyopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa MUSHI MASSAWE. Jitahidini kupost tuhakikishe Chadema inafutika Kilimanjaro
Screenshot_2020-04-01-16-22-40.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Hatushindi kwasababu gani? Kwasababu mtajitangazia matokeo mnayotaka sivyo? Huo ndo mnauita ushindi? Kama mnapendwa sana mnawazuiaje wengine wasiongee?
Wekeni Mpira uwanjani na mwamuzi huru muone matokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Mushi Masawe si mchaga , uko Geita unajifanya uko Kilimanjaro ! unatia aibu .
 
Mushi massawe, ukadai buku zako Saba kwa chakubanga kama kweli wewe ni mchaga kwani hela yao hailali nje! Una habari kuwa wenzako wenye kuandika ujinga na kuutetea na pia wale wenye kusifu Kika ujinga wwmeikimbia hii ajira ya polepole? Kama huna taarifa, mtafute mzee Vita nikuvute hapo R chuga akupe mtonyo juu ya kulipwa nguvu zenu!
Mnajitahidi mno kukichafua cdm na viongozi wake Ila ukweli mnaujua kuwa mnaipaisha na kuifuta vumbi na matope na ushahidi ni ule wa kulipiwa faini ya mamilioni ndani ya SAA 60!
Endeleeni kujifariji kwa kukumbatia mawe la mijusi kafiri! Na bado mtaionja nguvu ya umma tu octoba!
 
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Hata hapa dar hawana chao, wakimbilie labda kwa joseph haule, mbunge pekee atayebaki kwa asilimia kubw
 
hamumtaki wewe na nani?
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.

Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.

Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.

Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.

Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom