Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,652
- 2,355
Yani Mbowe anaogopeka kuliko hata Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua nyingine,hiyo imeshabuma teh teh teh teh teh teh!Mkuu hiyo ni ID tu isikupe shida!
Sasa kama Rais wa sasa anapiga kazi tufanye nini. Sisi tunasimamia kweli.Kwamba wachaga mmesaliti chama cha nyumbani ?
"jera"Naomba umuache kamanda wetu bado yupo jera la corona!
Tatizo lao hawa jamaa ni mambumbumbu,sasa mtu kafungua ID jana anajiita majina yasiyo na muunganiko hahaaaaa!Anadhani JF ni facebook!Ndo maana mm naipenda Jf tiyari muhuni kashakamatwa mapema kafungua ID fake hili aje asambaze Uongo....ahaaaaaaaaaaa
Kwani ukoo wa Mushi umezuiwa kuoa akina Massawe. Acha fikra mbovu.Hahahahahaaaaaaa,eti majina yake yote mawili ni majina ya Ukoo😀😀😀😀
Oneni hili jinga,kwahiyo umeoa kwa akina Massawe so jina lako linakuwa Mushi Massawe😆😆😆😆,hapa hupati buku 7 leo!Kwani ukoo wa Mushi umezuiwa kuoa akina Massawe. Acha fikra mbovu.
Eti Mushi Massawe. Acha propaganda za kifala mkuu. Kwasasa siasa ni corona.
Kuna thread nyingine alijiita Joyce Nkya.Hahahaha ID ya jana hiyo thread ya kwanza CHADEMA!
hawa watu CDM inawauma sana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wewe ndio utapiga kura kwa niaba ya wananchi wa majimbo yote tumia akili japo kiasiHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Duu!!! Jee huu ndiyo mwanzo wa upepo wa kisulisuli???? Nauliza Tuu.Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Kwaiyo ukioa kina Massawe na wewe unakuwa Massawe Mushi? Acha ujinga wachaga hatupo ivyo man.... Baki kwenye mipaka yako!! Kwaiyo wewe una jinsia 2 moja imeolewa na Massawe, na nyingine ndo inakutambulisha wewe kuwa ni Mushi?Kwani ukoo wa Mushi umezuiwa kuoa akina Massawe. Acha fikra mbovu.
Wewe sio mchaga hata hivyoSasa kama Rais wa sasa anapiga kazi tufanye nini. Sisi tunasimamia kweli.
wakati unayasema hayo jiulize ww umelifanyia nn Taifa lakoHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Haahaa mchaga akiona noti Akili inaruka, tangu Uhuru wamependelewa sana, Leo unafiki unawajaa eti jpm ndo kawakumbukaKwamba wachaga mmesaliti chama cha nyumbani ?
Buku 7 kazini!Duu!!! Jee huu ndiyo mwanzo wa upepo wa kisulisuli???? Nauliza Tuu.
Sasa kama Rais wa sasa anapiga kazi tufanye nini. Sisi tunasimamia kweli.
Hiyo combination ya jina tu ni wazi kuwa ni pandikiziUtaona kwa macho yako mwezi october mtarudi kupiga mziki.