Mushi Masawe
Member
- Mar 31, 2020
- 13
- 13
- Thread starter
- #41
Mwambie aangalie Tbc aone jinsi CCM inavyofanya kazi ndio maana hatutaki ujinga. Ukweli tutaiusema na ukabila hatutaki.Wewe mbona ni mjinga sana tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie aangalie Tbc aone jinsi CCM inavyofanya kazi ndio maana hatutaki ujinga. Ukweli tutaiusema na ukabila hatutaki.Wewe mbona ni mjinga sana tu!
Mtu ambaye nchi ipo kwenye korona epidemic yeye yupo anapiga picha kwenye mawe unategemea kichwa chake kiwe na nini?si TABULA RASA?Wewe ndo mgawaji wa majimbo? Halafu huwa najiuliza,toka tupate Uhuru mpaka mfumo wa vyama vingi unaanzishwa majimbo yote yalikuwa chini ya chama gani? Je,kuwa na chama kimoja ndo maendeleo huja haraka? Muda Fulani tujaribu kupevuka kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba umuache kamanda wetu bado yupo jera la corona!Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Mkuu kuondoa ukabila Ni ngumu, walioanzisha ukabila wanafahamika, nyie ndugu zenu wanajua, kila kitu kilikuwa kaskazini.Leo unafiki mnamwaga hapa.Mwambie aangalie Tbc aone jinsi CCM inavyofanya kazi ndio maana hatutaki ujinga. Ukweli tutaiusema na ukabila hatutaki.
Na wewe ni vuvuzera la wapi?
We Nani kwaniHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Hayo yote ni Majina ya koo. Hakuna mtu anaitwa jina la aina hiyo. . Mwishoni tutasikia Shirima Tarimo, Swai Temba. Sometimes ni vyema kuficha upumbavu wenu.Hutaki aitwe Mushi Massawe ulitaka aitwe Masanja Chacha au?
Moja kati ya zile ID zako uchwara, au sio!?Mkuu hiyo ni ID tu isikupe shida!
Jana ndio umepata ajira lumumba na kujiunga na jf jana hiyo hiyo. Polepole anaajiri wajinga wamsaidie kisa tu wawe ni wasukumaHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Kwani CHADEMA ilishapewa nchi ikashindwa kufanya hayo uliyoyataja?Ni CHADEMA waliozuia treni msiione kwa miaka mingi?Nyie ndio wale Lumumba buku 7 ambao anawasema Mzee Tupatupa,mnakufa na tai shingoni!Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Nyie mccm mbona mnaangaika Sana na kutumia nguvu nyingi za kipropaganda dhidhi ya chadema?ivi hayo maendeleo yanayosifiwa yamefanywa na CCM mbona huku kwetu hatuyaoni na madiwani,wabunge wote ni wanaccm?Moja kati ya zile ID zako uchwara, au sio!?
Ukabila anao huyu mnayemuabudu huko sisiem.Mwambie aangalie Tbc aone jinsi CCM inavyofanya kazi ndio maana hatutaki ujinga. Ukweli tutaiusema na ukabila hatutaki.
Hahahahahaaaaaaa,eti majina yake yote mawili ni majina ya Ukoo😀😀😀😀aiiiseeee wewe kyasaka a.k.a Lumumba buku 7
hakunaga Mushi Masawe babangu.!
badili tena hiyo I'd...umeingia cha ki cha kikekweli
Mushi Masawe sisi tutachagua Chadema mamaa angu. We na wasukuma wenzio chagueni magu na BashiteHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Wewe umetajwa kwenye first eleven ya lumumba buku 7 ambao malipo yamegota kutokana na Corona!😀😀Hutaki aitwe Mushi Massawe ulitaka aitwe Masanja Chacha au?
Kwamba wachaga mmesaliti chama cha nyumbani ?Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Mchaga wa pwani ana sifa zipi?