Chadema hawafai kuwa 'ruling party'. Ikitokea wakawa watawala basi nchi itaharibika kwa kila namna. They dont deserve by any means necessary!

Chadema hawafai kuwa 'ruling party'. Ikitokea wakawa watawala basi nchi itaharibika kwa kila namna. They dont deserve by any means necessary!

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.

Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.

Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.

Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.

Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
 
Kuna watu muda wote wanaiwazia CCM na CHADEMA halafu ukiwafuatilia maisha yao ni duni kuliko hata hao viongozi wa CCM na CHADEMA.

Mimi naona vyovyote inawezekana na itafaa.
Kilichokuwa kinaniumiza ni Magufuli ila Mungu fundi aliamulia ugomvi.
 
Kwani wewe ndiye mwamuzi wa wapiga kura wananchi?
 
Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.

Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.

Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.

Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.

Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
Hayo mawazo yako ni batili na yatabaki kuwa batili na huna uwezo wa kuyageuza kwakuwa unaamini kwa namna ambayo ni mbovu.
 
Hayo mawazo yako msimulie mkeo chumbani,na watoto wako .sisi watu wazima tuna akili zetu titaamua Ni Nani anastahili kutuongoza.
 
Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.

Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.

Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.

Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.

Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
Chama Cha Mazezeta, na wewe ndio mwanachama
 
Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.

Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.

Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.

Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.

Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
Hizi theory zenu za kitaahira hazina uzito tena. Sukuma Gang tumeshawadharau kama vipi mfuateni mfu wenu.
 
Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.

Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.

Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.

Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.

Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
Tunaishukuru sana corona
 
Kuna watu muda wote wanaiwazia CCM na CHADEMA halafu ukiwafuatilia maisha yao ni duni kuliko hata hao viongozi wa CCM na CHADEMA.

Mimi naona vyovyote inawezekana na itafaa.
Kilichokuwa kinaniumiza ni Dikteta Magufoool ila Mungu fundi aliamulia ugomvi.
Kwa Mungu hakuna kubwa
 
Una Akili ndogo sana Chadema ingekuwa haina uwezo CCM ingekuwa inaiba kura na Kuvuruga CHAGUZI?Ingekuwa inaogopa KATIBA MPYA?
INGEKUWA INAOGOPA TUME HURU YA UCHAGUZI?
Huyo sukuma gang kamwe hajawahi kuwa na akili
 
Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.

Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.

Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.

Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.

Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
Hii ni kweli ...
Chadema ni kama kagenge/ kamkusanyiko ka wahuni
 
Back
Top Bottom