Kama Ccm imeweza kutawala nchi hii tena kwa miaka kibao, basi hakuna chama kitakachoshindwa kuongoza hili taifa achilia mbali hao Chadema!Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.
Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.
Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.
Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.
Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
huna akili.Maisha duni tungemiliki smart phone na matablet?
Kwani huko kuna Worse kipi zaidi ya CCm?Hivi mtu na akili zake timamu anaweza kweli kufikiri kuifanya chadema hii ya sasa hivi kuwa chama tawala?
Nimeamini kuwa wewe ni masikini Yaani kumiliki subwoofer ndo unajiona tajiri.Kichwani huna kitu .husingekuwa kupe.Maisha duni tungemiliki smart phone na matablet?
Ukweli ni kwamba CHADEMA wakipewa madaraka ya nchi at least tutaanza upya kama Taifa.Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.
Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.
Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.
Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.
Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
Who are you by the way ?Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.
Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.
Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.
Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.
Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa
Wako hiviKuna watu muda wote wanaiwazia CCM na CHADEMA halafu ukiwafuatilia maisha yao ni duni kuliko hata hao viongozi wa CCM na CHADEMA.
Mimi naona vyovyote inawezekana na itafaa.
Kilichokuwa kinaniumiza ni Dikteta Magufoool ila Mungu fundi aliamulia ugomvi.
Huu ni Uzi wa hovyo wiki hii
A lot:Kwani huko kuna Worse kipi zaidi ya CCm?
Nini maana ya umasikini? Poverty?Afya ya akili ni tatizo kubwa sana kwa members wengi wa JF kulingana na uzi huu. Kweli mtu anaandika kuwa TZ sio masikini kwa sababu watu wanamiliki smartphone?
Nachoshindwa kuelewa CCM ndio imeharibu watu kuwa mataahira au watu mataahira ndio walioiharibu CCM?
Nisaidieni uelewa hapo!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
UmemalizaWana kila dalili mbaya.
Matumizi mabaya ya rasilimali : pamoja na kupokea ruzuku mwaka wa 30 hawana ofisi.
Matumizi mabaya ya ofisi : kutoa nafasi za upendeleo za ubunge kwa wapenzi na ndugu wa karibu.
Uchu wa madaraka : kuwa na mwenyekiti mmoja kwa zaidi ya miaka 20.
Matumuzi mabaya ya rasilimali watu : kufukuza kila mtu mwenye fikra tofauti na viongozi wa chama.
Kukosa mipango ya muda mrefu: kutoona umuhimu wa kulea vijana watakaoshika nafasi za uongozi katika chama.
Huyo mshenzi alikula pesa zetu za rambirambi huku kagera na matusi akatutolea, ila Mungu alisikia kilio chetuKuna watu muda wote wanaiwazia CCM na CHADEMA halafu ukiwafuatilia maisha yao ni duni kuliko hata hao viongozi wa CCM na CHADEMA.
Mimi naona vyovyote inawezekana na itafaa.
Kilichokuwa kinaniumiza ni Magufuli ila Mungu fundi aliamulia ugomvi.
Vice versa is true,Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.
Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.
Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.
Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.
Polical chaos will emerge. Hawa jamaa hawafai kabisa