CHADEMA hawana uwezo wa kuchukua nchi. Wakikamiwa wanapoa Kama uji wa dundi

UPUUZI MTUPU!

 
Haya mambo shida wanayaanzia juu kitu cha kufanya wawajaze sumu kwa Raia huku chini kwa muda wa Miaka miwili Then ndo waende kwenye media lakini haya masuala ya kukimbilia camera fasta hawawezi fika
Hii siri usiiseme kwa nguvu.
Punguza Sauti
 
Sisi watanzania waoga kama nini, tukiambiwa tuidai haki yetu utasikia ooowao wamekaa huko sisi tunapigwa virungu huku, hakuna haki bila ya kutoka jasho tusidanganyane tutabakia kushangaa kwa wenzetu tu sisi kamwe hatuna uthabiti wa kutoka moyoni.
 
Huwa nafuatilia maandiko yako, nashangaa sana. Hujui advantage za Hep vs gas?
 
cdm na watanzania pia ni tatzo,
em post picha ya huo uji๐Ÿ˜‚
 
Sisi watanzania waoga kama nini, tukiambiwa tuidai haki yetu utasikia ooowao wamekaa huko sisi tunapigwa virungu huku, hakuna haki bila ya kutoka jasho tusidanganyane tutabakia kushangaa kwa wenzetu tu sisi kamwe hatuna uthabiti wa kutoka moyoni.

Watanzania hatujaona tatizo. Shida hamtafanikiwa kwa kuwa ninyi mmekuwa sehemu ya tatizo. Kwanza mna kelele sana. Pili jina Demokrasia Lakini mtu akitoa maoni yake yasipofanana na yenu Basi matusi na kuongozana kuattack. Mpo so shallow. Mnajiona wengi sana humu Lakini Ni watu wa ovyo sana. Amani yetu Ni muhimu kuliko Siasa za kijinga na za kila wakati. Nchi maskini Ni muda wa kazi. Kazi. Kazi. Siasa Ni za watu walioshibaaaa.
 
Ujinga wa CCM unahalalisha CDM nao kufanya ujinga?
 
Ni mawazo yako na nayaheshimu.
 
Huwa nafuatilia maandiko yako, nashangaa sana. Hujui advantage za Hep vs gas?

Kabla ya kutaka umeme wa gas, tulikuwa tunatumia umeme wa maji, bado Tanzania haikuwa na umeme wa bei rahisi kulinganisha na nchi nyingine za Afrika mashariki. Tuchukulie HEP ni nafuu kuliko gas, je ilikuwaje ccm yote kabla ya 2015 kutuaminisha kuwa gas ni muarobaini wa nishati yetu? Ulikuwa wapi wakati huo kuonyesha kuwa umeme wa maji ndio sahihi?
 
Kwani mipango ya kiuchumi huwa haibadiliki? Mipango ya kiuchumi huwa inabadilika ndugu. Mnaweza kupanga kuwa na gas electricity na baadae mkaona mmebugi kisha mnaenda kwenye maji. Acha kukariri.
 
Kwani mipango ya kiuchumi huwa haibadiliki? Mipango ya kiuchumi huwa inabadilika ndugu. Mnaweza kupanga kuwa na gas electricity na baadae mkaona mmebugi kisha mnaenda kwenye maji. Acha kukariri.
Ingekuwa ni kubadilika kwa mipango ya uchumi hapo sawa, ila sio mabadiliko kwa utashi wa rais aliye madarakani. Kwenye gas tumekopa 3t, kisha ndani ya muda mfupi tunakopa 6.5t kuanzisha mradi wa umeme wa maji. Nani atalipa 10t kwa ajili ya huduma hiyo hiyo? Hiyo sio akili bali ni matope. Halafu mnaongopea watu kuwa umeme utakuwa bei rahisi, utakuwa bei rahisi huku ukiwa na deni la 10t?
 
Reactions: BAK
Wachukue nchi waipeleke wapi?
 
Upo upande upi mkuu, ccm ama sio ccm??
Kama ni ccm basi bandiko liko sawa. Ila kama haupo upande huo basi bandiko halijakamiika hilo, ni njia zipi sasa watumie hao chadema unazoona wewe ni sahihi kupambana na dola.??

Maana kwa mazingira ya hapa kwetu inahitaji moyo wa chuma kua mpinzani halisi aisee, kupotezwa na kuswekwa rumande ni dakika 0.
 
Una hakika na ulichoandika? Kwamba tril 10 zilikopwa? Au unaropoka ukidhania mimi ni mpuuzi?
 
Sio Kuchukua tu, Uwezo wa Kuongoza tu Hawana.... ! Jaribu tu Kuwaza Mnyika ndo PM !! Waishie huko huko kwenye Saccos Yao...!
Sasa huyo PM wenu si mwalimu tu wa michezo Ana jipya gani Bora Mnyika๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ