Kwamba aliwaalika wakachangie kanisa?CDM inawatambua hao, hususani mwenyekiti.
Jieleze kwa kutumia lugha ya alama.Ndio mkuu
Mbona wewe unakipenda kinyesi.Mbombo ngafu, hii imekaaje?
CHADEMA hawawatambui Halima Mdee na wenzake, lakini wanaenda kwenye kamati ya Bunge la akina Mdee kutoa maoni yao kuhusu sheria za uchaguzi, na wanatarajia hao hao wawapitishie sheria tamu na nzuri ambazo zitawafanya waanze kula, na wanaokula sasa wakubali kwa hiyari kuanza kushinda njaa.
Kama wanaona akina Mdee si halali, kwanini wanapotezea hoja hiyo wakiwa wanasaka maslahi yao?
Hawapendi kinyesi, lakini wanapenda kula funza wanaotokea baada ya kinyesi kuoza.
si hivyo tu,Mbombo ngafu, hii imekaaje?
CHADEMA hawawatambui Halima Mdee na wenzake, lakini wanaenda kwenye kamati ya Bunge la akina Mdee kutoa maoni yao kuhusu sheria za uchaguzi, na wanatarajia hao hao wawapitishie sheria tamu na nzuri ambazo zitawafanya waanze kula, na wanaokula sasa wakubali kwa hiyari kuanza kushinda njaa.
Kama wanaona akina Mdee si halali, kwanini wanapotezea hoja hiyo wakiwa wanasaka maslahi yao?
Hawapendi kinyesi, lakini wanapenda kula funza wanaotokea baada ya kinyesi kuoza.
Tangu siku ya kwanza wake covid 19 walishatuhumiwa na chama na adhabu ulikua kufukuzwa uanachama.Mbombo ngafu, hii imekaaje?
CHADEMA hawawatambui Halima Mdee na wenzake, lakini wanaenda kwenye kamati ya Bunge la akina Mdee kutoa maoni yao kuhusu sheria za uchaguzi, na wanatarajia hao hao wawapitishie sheria tamu na nzuri ambazo zitawafanya waanze kula, na wanaokula sasa wakubali kwa hiyari kuanza kushinda njaa.
Kama wanaona akina Mdee si halali, kwanini wanapotezea hoja hiyo wakiwa wanasaka maslahi yao?
Hawapendi kinyesi, lakini wanapenda kula funza wanaotokea baada ya kinyesi kuoza.