Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Zitto ni CCM CNasubiri comment ya Zito kuhusu hoja hii ya ndugu Pascal Mayalla, mpaka sasa naona kimya..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ni CCM CNasubiri comment ya Zito kuhusu hoja hii ya ndugu Pascal Mayalla, mpaka sasa naona kimya..
Hoja yake ipo very clearKama CCM imeshindwa kurudisha Mali za umma kama viwanja na ofisi za Serikali, iweje waache ruzuku?
Pascal mayalla anataka Ruzuku ifutwhe Kwa vyama vya upinzani Ili vife, haiongelei CCM yake.
Angekitolea mfano chama tawala angalau ningemwelewa Kwa maana wanachukua karibu 90%y. ya ruzukuAkizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;
“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”
“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
View attachment 2861719
Amechangia kama kada wa CCM,Hoja yake ipo very clear
Naunga mkono ruzuku ifutweAmechangia kama kada wa CCM,
Kuna Uzi alimshauri Magu afute ruzuku za vyama.
Unaamini CCM ingejifutia ruzuku?
Nyuma ya pazia wanaamini ruzuku ndo inaipa uhai CHADEMA ilhali Si Kweli.
Kuna wakati unakuwa na hoja nzuri ,ruzuku iondolewe kwenye vyama vya siasa wanachama wanatakiwa wajichange kuendeshaMkuu Idugunde , asante kwa bandiko hili CHADEMA hawawezi kumuelewa Paskali Mayalla. Ruzuku kwao ni baishara kuendesha maisha yao
Hii hoja imejadiliwa pia hapa na Mkuu Sildenafil Citrate , Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee
Wanasiasa, mtanielewa tuu in due time, kwasababu hili sikuanza nalo leo Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
Paskali
Na hii ndo inafanya mbowe aifanye cdm kama saccos , anaweka shilingi 5 akija kutoa anatoa shiling 8 .Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;
“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”
“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
View attachment 2861719
Kinana ni mtu hatari sana...Kuna jamaa kaamua kukiweka chama mfukoni na anatafuna ruzuku kwa kwenda mbele.
CCM ndiyo wanufaika wakubwa wa ruzuku hata kama ni wao tena ndiyo wanaotumia mali za Umma kufanyia siasa.Na hii ndo inafanya mbowe aifanye cdm kama saccos , anaweka shilingi 5 akija kutoa anatoa shiling 8 .
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kivipi??Mayalla angesema tu MBOWE ASIPEWE RUZUKU kwasababu ruzuku ya CHADEMA huwa ni yake binafsi.
I igree with youRuzuku ikiondolewa wapinzani watapambana kweli waingie madarakani.
Kutakuwa na upinzani wa kweli hakuna mambo ya kwenda kunywa juice Ikulu na kisha picha picha kibao ukumbusho wa agano la kulambishana asali.
Hakutakuwa na utitiri wa vyama vya upinzani vinavyo hujumiana kwenye chaguzi na kuinufaisha CCM.
Wakiondoa ruzuku waruhusu vyama kupokea michango toka kwa diaspora n.k. Kusiwe na zengwe kama walilopigwa NGO kupokea ufadhili kipindi cha 2020. Vyama vitaungana kuunganisha nguvu.
Miradi ya vyama vya upinzani isipigwe vikwazo pia kodi iondolewe kwenye hiyo miradi.
Mgombea binafsi aruhusiwe.
DuhMkuu Idugunde , asante kwa bandiko hili CHADEMA hawawezi kumuelewa Paskali Mayalla. Ruzuku kwao ni baishara kuendesha maisha yao
Hii hoja imejadiliwa pia hapa na Mkuu Sildenafil Citrate , Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee
Wanasiasa, mtanielewa tuu in due time, kwasababu hili sikuanza nalo leo Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
Paskali
..Chadema wenyewe hawa hapa.
..Wakianza kuzungumza mkutano mzima unaingia hofu.
View: https://www.youtube.com/watch?v=as1nWwHNfxM&t=12s
Cha ajabu kabisa.
Kila wakati wanawasimanga ila wakianza kuzungumza au kufanya mikutano mtaa wa pili wanashikwa na taharuki.
Inashangaza sana.....wanawaalika kwenye vikao lakini hawataki kusikiliza maoni yao.
..mchangiaji wa Chadema alipozungumza watu walioandaliwa wakaanza kuomba "muongozo" na kutaka kumpa "taarifa" kana kwamba wako Bungeni!!
Kama anaongea pumba asipewe muongozo?..wanawaalika kwenye vikao lakini hawataki kusikiliza maoni yao.
..mchangiaji wa Chadema alipozungumza watu walioandaliwa wakaanza kuomba "muongozo" na kutaka kumpa "taarifa" kana kwamba wako Bungeni!!
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;
“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”
“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
View attachment 2861719
Na hii ndo inafanya mbowe aifanye cdm kama saccos , anaweka shilingi 5 akija kutoa anatoa shiling 8 .
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app