CHADEMA hawawezi kumuelewa Paskali Mayalla. Ruzuku kwao ni baishara kuendesha maisha yao

CHADEMA hawawezi kumuelewa Paskali Mayalla. Ruzuku kwao ni baishara kuendesha maisha yao

A
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla


View attachment 2861719
Angekitolea mfano chama tawala angalau ningemwelewa Kwa maana wanachukua karibu 90%y. ya ruzuku
 
Kuna wakati unakuwa na hoja nzuri ,ruzuku iondolewe kwenye vyama vya siasa wanachama wanatakiwa wajichange kuendesha
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla


View attachment 2861719
Na hii ndo inafanya mbowe aifanye cdm kama saccos , anaweka shilingi 5 akija kutoa anatoa shiling 8 .

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mayalla angesema tu MBOWE ASIPEWE RUZUKU kwasababu ruzuku ya CHADEMA huwa ni yake binafsi.
Kivipi??

Mbowe hakuingia kwenye siasa kufuata ruzuku. Baba yake ni miongoni mwa watu waliompa Mwalimu hela ya nauli aende UNO zama hizo kabla ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1960-1961.

Lile shamba lao lililoharibiwa wakati ule limo kwenye familia yao kwa miaka zaidi ya 80. Ni wana siasa wangapi wana historia kama hiyo??

Sema utafiti wa TWAWEZA ulionesha watu wa chama chenu huamini kila wanachoambiwa na viongozi wao.
 
Ruzuku ikiondolewa wapinzani watapambana kweli waingie madarakani.
Kutakuwa na upinzani wa kweli hakuna mambo ya kwenda kunywa juice Ikulu na kisha picha picha kibao ukumbusho wa agano la kulambishana asali.

Hakutakuwa na utitiri wa vyama vya upinzani vinavyo hujumiana kwenye chaguzi na kuinufaisha CCM.

Wakiondoa ruzuku waruhusu vyama kupokea michango toka kwa diaspora n.k. Kusiwe na zengwe kama walilopigwa NGO kupokea ufadhili kipindi cha 2020. Vyama vitaungana kuunganisha nguvu.

Miradi ya vyama vya upinzani isipigwe vikwazo pia kodi iondolewe kwenye hiyo miradi.
Mgombea binafsi aruhusiwe.
I igree with you
 
Cha ajabu kabisa.

Kila wakati wanawasimanga ila wakianza kuzungumza au kufanya mikutano mtaa wa pili wanashikwa na taharuki.

..wanawaalika kwenye vikao lakini hawataki kusikiliza maoni yao.

..mchangiaji wa Chadema alipozungumza watu walioandaliwa wakaanza kuomba "muongozo" na kutaka kumpa "taarifa" kana kwamba wako Bungeni!!
 
..wanawaalika kwenye vikao lakini hawataki kusikiliza maoni yao.

..mchangiaji wa Chadema alipozungumza watu walioandaliwa wakaanza kuomba "muongozo" na kutaka kumpa "taarifa" kana kwamba wako Bungeni!!
Kama anaongea pumba asipewe muongozo?
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla


View attachment 2861719

CHADEMA inaingiaje hapo?. CCM ndio wanaongoza kwa kulipwa Ruzuku ndefu kwa mwezi. Wanalipwa Bilioni moja na millioni mia nne kwa mwezi. Sasa Ruzuku ikiondolewa nani ataumia kati ya CCM na CHADEMA inatopikea millioni mia mbili kwa mwezi.
 
Na hii ndo inafanya mbowe aifanye cdm kama saccos , anaweka shilingi 5 akija kutoa anatoa shiling 8 .

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app

Punguza kuropoka. Unaelewa mwenye Mali za CHADEMA ni nani?. Nenda mahakamani ukaulize, Kuna bodi ya wadhamini, acheni siasa nyepesi. Ruzuku ikifutwa CCM itakufa maana inapokea Bilioni moja na millioni mia nne kwa mwezi. Sasa iondoe hiyo uone Cha moto.
 
Back
Top Bottom