Wengi walikuwa wanadai katiba ili wapewe uhuru wa kuichamba serikaliKatiba ni yetu sisi wananchi.
Hatutaki kibambikiziwa kesi, hatutaki dhuluma, hatutaki kubebeshwa mizigo ya kodi ya wengine, tunataka sepatation of power ya mhimili, tunataka usawa, uwajibikaji, mawazo yetu kusikilizwa nk.
Vipi mtu asiyatake hayo? Labda tu haelewi au ni mnufaika wa katiba fyongo iliyopo.
Rotting in hell!😝😝😝😝😝Huyo jiwe aliyeikomoa chadema yuko wapi kwanza?
Tuanzie hapo
Huyo jiwe aliyeikomoa chadema yuko wapi kwanza?
Tuanzie hapo
Ndio muwe na adabu,anaweza fanya na akasefugadi maslahi ya wazungu na maisha yakaenda kama Kawa nyie mkabaki mnalia Lia hovyo kama watoto wa nguruwe.
Mkiambiwa tulieni kwanza eleweni
Misconception tu.Wengi walikuwa wanadai katiba ili wapewe uhuru wa kuichamba serikali
Hizo ni amri za Rais ziko kwa mujibu wa Katiba ,akitoa executive order lazima kuheshimu sio kuleta ukaidi wa kipuuzi.Urais ni kwa mujibu wa katiba anaapa kuiheshimu na kuilinda katiba. Si hisani wala nchi si shamba la bibi.
Ndiyo maana takwa la katiba bora zaidi laweza kubezwa na wasioelewa au wanufaika peke yake.
Hizo ni amri za Rais ziko kwa mujibu wa Katiba ,akitoa executive order lazima kuheshimu sio kuleta ukaidi wa kipuuzi.
kwan wewe unatafauti gan na mfu! kinachokupa kiburi ni mda ila unafuata pia
Litaje hilo tusi,maana mataga kwa kukariri tu mko vizuri.Jitu kama Mdude katolewa jela Tu kaanza matusi hapo hapo kwa waliomtoa..
Bangi tupu
Halafu ni kiongozi eti chadema
Chadema ni genge la wahalifu.Nilikuwa nawaunga mkono lakini hizi kauli zao dhidi ya mh Mama Samia Rais wa JMT,hazivumiliki.
Nimemsikia Mdude akiongea hana adabu kabisa kwa Rais.Naamini ameshinda kesi kwa sababu mama anataka haki.Leo anakuja kuongea eti akimtisha Rais?!!
Kwa nini msifanye siasa za kistaarabu?Maana serikali ikiamua ubabe si mtaisha?Hivi ninyi ni watu wa namna gani?na mnaitakia nini nchi hii?
Unacheza na uhitaji wa madaraka wewe, hapo wala haitafutwi katibaKwa kweli wamenifikirisha hawa ndugu zangu si kwa haraka hii walonayo huku wakitishia uvunjifu wa amani.
Wananchi tuna majeraha kutokana na utawala wa kiimla tulokuwa tukiuelekea...
wao wangeanzia chini wangekuja na sera mbadala za kuwapa matumaini watu. wangewaelewesha wananchi sheria zote kandamizi zilizopelekea majeraha haya...hapo wananchi wenyewe wangedai katiba, sio kukurupuka ndani ya miezi mitatu kuanza kudai katiba...hatuwaelewi
Wana maumivu ya uchaguzi wa 2020 wanadhani bado wako kwenye kampeni za uchaguziRais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe.
Huoni tatizo lilipo?
Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant
Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..
Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..
Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..
Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Mkuu Papushikashi kifo ni jambo la kawaida lisilopaswa kupotoshwa potoshwa kwa watu wenye akili zao, kama huyu bwana stakehigh anavyotaka kufanya:
Nadharia iliyoshiba kuhusu vifo na wendazao
Mabibi na mabwana zimekuwapo nadharia nyingi na zingine nyepesi nyepesi kuhusiana na vifo na wendazao. Mtumishi huyu wa Mungu katika udadavuzi wake kwa hakika ana hoja za msingi: Kwamba pana vifo vya aina 4: 1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa) 2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa kwenye...www.jamiiforums.com
Chadema ni sawa na vijana wawindaji walioenda kuwinda porini na mbwa ,kila mwindaji anapiga mluzi hatimaye mbwa hajui afuate mluzi upi.Kuelewa chadema wanataka nini ni kazi sana kama kuelewa kiuno cha nyoka kiko wapi ukivishe shanga.
Hili alitakiwa alitambue mapema kabla ya kuropoka kuwa ataiua chademaAmetangulia kwenda huko ambako wore tutakwenda ukiwemo wewe ndugu
Unaandika kishamba sanaJitu kama Mdude katolewa jela Tu kaanza matusi hapo hapo kwa waliomtoa..
Bangi tupu
Halafu ni kiongozi eti chadema
Ndiyo maana Mungu akaamua apite hivi.Ni kweli yeye hayupo, lakini hii haiondoi ukweli kwamba wapinzani na wote waliokuwa kinyume nae waliishi kwa mashaka na watumishi wa umma walipauka