CHADEMA HII ITAPATA MBUNGE ANGALAU MMOJA?

CHADEMA HII ITAPATA MBUNGE ANGALAU MMOJA?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Tuangalie safu ya vyama vyote

Mwenyekiti wa ccm- amiri jeshi mkuu, Rais wa Tanzania.
Mwenyekiti wa chadema- alikuwa mbunge, mwanasheria wa kujitegemea
Makamo mwenyekiti wa ccm- waziri wa miaka mingi, mbunge wa miakq mingi
Makamo mwenyekiti chadema- mbunge wa miaka 10.
Makamo mwenyekiti Zanzibar ccm- Rais, waziri wa miaka mingi
Makamo mwenyekiti wa chadema Zanzibar- Wakili ambae hajulikani wala kufahamika Zanzibar, jina lake genius ktk siasa.
Kwa hali hii chadema hii ya Lissu itaambuliq angalau mbunge mmoja?
 
Tuangalie safu ya vyama vyote

Mwenyekiti wa ccm- amiri jeshi mkuu, Rais wa Tanzania.
Mwenyekiti wa chadema- alikuwa mbunge, mwanasheria wa kujitegemea
Makamo mwenyekiti wa ccm- waziri wa miaka mingi, mbunge wa miakq mingi
Makamo mwenyekiti chadema- mbunge wa miaka 10.
Makamo mwenyekiti Zanzibar ccm- Rais, waziri wa miaka mingi
Makamo mwenyekiti wa chadema Zanzibar- Wakili ambae hajulikani wala kufahamika Zanzibar, jina lake genius ktk siasa.
Kwa hali hii chadema hii ya Lissu itaambuliq angalau mbunge mmoja?
Una tatizo kwenye ubongo wako
 

Attachments

  • downloadfile-1.jpg
    downloadfile-1.jpg
    344.2 KB · Views: 2
Tuangalie safu ya vyama vyote

Mwenyekiti wa ccm- amiri jeshi mkuu, Rais wa Tanzania.
Mwenyekiti wa chadema- alikuwa mbunge, mwanasheria wa kujitegemea
Makamo mwenyekiti wa ccm- waziri wa miaka mingi, mbunge wa miakq mingi
Makamo mwenyekiti chadema- mbunge wa miaka 10.
Makamo mwenyekiti Zanzibar ccm- Rais, waziri wa miaka mingi
Makamo mwenyekiti wa chadema Zanzibar- Wakili ambae hajulikani wala kufahamika Zanzibar, jina lake genius ktk siasa.
Kwa hali hii chadema hii ya Lissu itaambuliq angalau mbunge mmoja?
Vipi kama tukapata mia mbili kati ya mia tatu?Utarudi hapa kusema nini?
 
Vipi kama tukapata mia mbili kati ya mia tatu?Utarudi hapa kusema nini?
Huyo ubongo wake uko kama wa kuku,ikitokea hivyo hatakumbuka kuwa aliwahi kuweka huu ushuzi wake hapa
 
Pro Mbowe mmegoma kupona majeraha ya uchaguzi!
 
hujaongezea sifa hii kwa mwenyekiti wa ccm na CHADEMA

Walikuwa wajumbe wa kamati Sheria na katiba ya bunge la katiba ya warioba

Samia ,hakwenda hospitali ya Nairobi kijinga kumsalimia LISu wa watanzania wote waliomba mamlaka kamili ya Zanzibar na muungano wa nchi tatu
 
Back
Top Bottom