Una tatizo kwenye ubongo wakoTuangalie safu ya vyama vyote
Mwenyekiti wa ccm- amiri jeshi mkuu, Rais wa Tanzania.
Mwenyekiti wa chadema- alikuwa mbunge, mwanasheria wa kujitegemea
Makamo mwenyekiti wa ccm- waziri wa miaka mingi, mbunge wa miakq mingi
Makamo mwenyekiti chadema- mbunge wa miaka 10.
Makamo mwenyekiti Zanzibar ccm- Rais, waziri wa miaka mingi
Makamo mwenyekiti wa chadema Zanzibar- Wakili ambae hajulikani wala kufahamika Zanzibar, jina lake genius ktk siasa.
Kwa hali hii chadema hii ya Lissu itaambuliq angalau mbunge mmoja?
Hawa UWT hawana akili kabisaUna tatizo kwenye ubongo wako
Vipi kama tukapata mia mbili kati ya mia tatu?Utarudi hapa kusema nini?Tuangalie safu ya vyama vyote
Mwenyekiti wa ccm- amiri jeshi mkuu, Rais wa Tanzania.
Mwenyekiti wa chadema- alikuwa mbunge, mwanasheria wa kujitegemea
Makamo mwenyekiti wa ccm- waziri wa miaka mingi, mbunge wa miakq mingi
Makamo mwenyekiti chadema- mbunge wa miaka 10.
Makamo mwenyekiti Zanzibar ccm- Rais, waziri wa miaka mingi
Makamo mwenyekiti wa chadema Zanzibar- Wakili ambae hajulikani wala kufahamika Zanzibar, jina lake genius ktk siasa.
Kwa hali hii chadema hii ya Lissu itaambuliq angalau mbunge mmoja?
Huyo ubongo wake uko kama wa kuku,ikitokea hivyo hatakumbuka kuwa aliwahi kuweka huu ushuzi wake hapaVipi kama tukapata mia mbili kati ya mia tatu?Utarudi hapa kusema nini?
Mia mbili kura?Vipi kama tukapata mia mbili kati ya mia tatu?Utarudi hapa kusema nini?
Mia mbili kati yawale wapiga makofi na wapiga kelele wenu wandiyooooooo.Mia mbili kura?