Wepesi ni HamasChadema hii ndio no reform no election?
1. Lissu
2. Heche
3. Amani
4. Lema
5. Mayemba
6. Deogratius wa BAVICHA
Mbona hawa watu wepesi sana ktk kupigania vitu vikubwa kama hivyo
Kweli unayoongea kwa 100%Wepesi ni Hamas
Trump kapiga mkwara mmoja tu Hamas wameufyata 😂
Tupe orodha ya watu wazito ndani ya SISIEMU wanaoweza pigania hilo
Siwajui, nitajie tafadhaliHuwajui
Dada Maria 2 una gubu sana ndiyo huolewi utaushia kuoigwa miti tu basiChadema hii ndio no reform no election?
1. Lissu
2. Heche
3. Amani
4. Lema
5. Mayemba
6. Deogratius wa BAVICHA
Mbona hawa watu wepesi sana ktk kupigania vitu vikubwa kama hivyo.
Tuungalie cuf enzi zake
1. Maalim seif- waziri kionngoz8
2. Abubakar khamis- mwanasheria 2a serekali
3. Mansour - waziri wa ccm na baba yake mwanamapinduzu
4. Juma duni- muungano na waziri Zanzibar .
5. Machano- mkuu wa Polisi Zanzibar enzi zake.
Lkn team ya lissu nyepesi sana dhidi ya ccm
Hiyo timu Lissu ni kama Futuhi tu. Alishindwa Mbowe ambaye babaake alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa CCM Taifa. Akashindwa Mrema mwaka 1995. Akashindwa Maalim Seif aliyeupenda Urais wa Zanzibar kuliko uhai wake. Alishindwa Lowassa na kauli mbiu yake ya "Toroka Uje". Eti aweze kapuku Lissu aliyeshindwa kuwanunulia hata maji ya kunywa watu waliokuja kumpokea nyumbani kwake Ikungi? Ahahahahaha!!!Chadema hii ndio no reform no election?
1. Lissu
2. Heche
3. Amani
4. Lema
5. Mayemba
6. Deogratius wa BAVICHA
Mbona hawa watu wepesi sana ktk kupigania vitu vikubwa kama hivyo.
Tuungalie cuf enzi zake
1. Maalim seif- waziri kionngoz8
2. Abubakar khamis- mwanasheria 2a serekali
3. Mansour - waziri wa ccm na baba yake mwanamapinduzu
4. Juma duni- muungano na waziri Zanzibar .
5. Machano- mkuu wa Polisi Zanzibar enzi zake.
Lkn team ya lissu nyepesi sana dhidi ya ccm
Sasa mkuu watu wote hao waliotajwa ndo wamepewa mzee wasira adili nao? Unajua ana umri gani yule mzee?Kama ni wepesi Mzee wasira angekuwa ana dili na ACT na vyama vingine na sio Chadema
Wasira anaongea Kwa niaba ya chama, ndo wamemtuma aongee hayo anayoongea, siyo utashi wake binafsiSasa mkuu watu wote hao waliotajwa ndo wamepewa mzee wasira adili nao? Unajua ana umri gani yule mzee?
Huwezi kuwakilisha taasisi bila utashi mkuu.Wasira anaongea Kwa niaba ya chama, ndo wamemtuma aongee hayo anayoongea, siyo utashi wake binafsi
Ukweli ni kuwa Chadema ndo chama pekee kinachoitesa CCM na viongozi wakeHuwezi kuwakilisha taasisi bila utashi mkuu.
Ccm ina akina nani? Zaidi ya dola...Chadema hii ndio no reform no election?
1. Lissu
2. Heche
3. Amani
4. Lema
5. Mayemba
6. Deogratius wa BAVICHA
Mbona hawa watu wepesi sana ktk kupigania vitu vikubwa kama hivyo.
Tuungalie cuf enzi zake
1. Maalim seif- waziri kionngoz8
2. Abubakar khamis- mwanasheria 2a serekali
3. Mansour - waziri wa ccm na baba yake mwanamapinduzu
4. Juma duni- muungano na waziri Zanzibar .
5. Machano- mkuu wa Polisi Zanzibar enzi zake.
Lkn team ya lissu nyepesi sana dhidi ya ccm
Siasa sio mpira wa miguuCcm ina akina nani? Zaidi ya dola...
Hao wavuta bangi tu, hiyo serikali tupeni muundo wake, PM nani, mawaziri ni kina nani. Hilo ni genge la wahuni linalotumiwa na vibaraka wa njeChadema hii ndio no reform no election?
1. Lissu
2. Heche
3. Amani
4. Lema
5. Mayemba
6. Deogratius wa BAVICHA
Mbona hawa watu wepesi sana ktk kupigania vitu vikubwa kama hivyo.
Tuungalie cuf enzi zake
1. Maalim seif- waziri kionngoz8
2. Abubakar khamis- mwanasheria 2a serekali
3. Mansour - waziri wa ccm na baba yake mwanamapinduzu
4. Juma duni- muungano na waziri Zanzibar .
5. Machano- mkuu wa Polisi Zanzibar enzi zake.
Lkn team ya lissu nyepesi sana dhidi ya ccm
Ht hao ulipigwa mkwara hakuna kuandamana na waliufyata, Mnyika alishinda kanisani, Heche sijui alikuwa wapi, Lissu kanisaniWepesi ni Hamas
Trump kapiga mkwara mmoja tu Hamas wameufyata 😂