Mmwshaanza kuweweseka wakati kazi baado kabisaChadema hii ndio no reform no election?
1. Lissu
2. Heche
3. Amani
4. Lema
5. Mayemba
6. Deogratius wa BAVICHA
Mbona hawa watu wepesi sana ktk kupigania vitu vikubwa kama hivyo.
Tuungalie cuf enzi zake
1. Maalim seif- waziri kionngoz8
2. Abubakar khamis- mwanasheria 2a serekali
3. Mansour - waziri wa ccm na baba yake mwanamapinduzu
4. Juma duni- muungano na waziri Zanzibar .
5. Machano- mkuu wa Polisi Zanzibar enzi zake.
Lkn team ya lissu nyepesi sana dhidi ya ccm
Umemaliza mchezo sema hao andunje wataendelea kubishaHiyo timu Lissu ni kama Futuhi tu. Alishindwa Mbowe ambaye babaake alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa CCM Taifa. Akashindwa Mrema mwaka 1995. Akashindwa Maalim Seif aliyeupenda Urais wa Zanzibar kuliko uhai wake. Alishindwa Lowassa na kauli mbiu yake ya "Toroka Uje". Eti aweze kapuku Lissu aliyeshindwa kuwanunulia hata maji ya kunywa watu waliokuja kumpokea nyumbani kwake Ikungi? Ahahahahaha!!!
Lakini ana akili kuliko hao vikojosiSasa mkuu watu wote hao waliotajwa ndo wamepewa mzee wasira adili nao? Unajua ana umri gani yule mzee?
Sawa sawa boss.Ukweli ni kuwa Chadema ndo chama pekee kinachoitesa CCM na viongozi wake
Kazi kwelikweli.Lakini ana akili kuliko hao vikojosi
Mida utawaambia ukweli.Umemaliza mchezo sema hao andunje wataendelea kubisha
Chadema hii ndio no reform no election?
1. Lissu
2. Heche
3. Amani
4. Lema
5. Mayemba
6. Deogratius wa BAVICHA
Mbona hawa watu wepesi sana ktk kupigania vitu vikubwa kama hivyo.
Tuungalie cuf enzi zake
1. Maalim seif- waziri kionngoz8
2. Abubakar khamis- mwanasheria 2a serekali
3. Mansour - waziri wa ccm na baba yake mwanamapinduzu
4. Juma duni- muungano na waziri Zanzibar .
5. Machano- mkuu wa Polisi Zanzibar enzi zake.
Lkn team ya lissu nyepesi sana dhidi ya ccm