Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,317
- 1,320
Ni wazi kabisa kwamba Serikali (CCM) imedhamiria kufubaza harakati za kudai katiba mpya Tena kwa nguvu zote, na hii ndio maana ya kumbambika mbowe kesi ya Ugaidi.
Lengo lao kubwa ni kuwatisha Ili mpunguze Kasi, Kesi ya mbowe itapigwa danadana Sana mpaka pale ninyi mtakapo ishurutisha serikali kwa mbinu zozote zile.
Mapambano yenu kwa Sasa yalenge kuandaa makongamano mengi ya katiba mpya, msipofanya hivyo maana yake mtakuwa mmenasa kwenye mtego wa maadui.
Kesi ya mbowe ni ukurupukaji mkubwa wa serikali na vyombo vyake, na imewakwama kabisa haitafuniki,haitemeki, Wala haimezeki, kuendeleza makongamano ndio njia pekee itakayoongeza joto kali zaidi kwa serikali.
Makamanda huu sio mda wa kurudi nyuma Kama kuumizwa mmeumizwa Sana, kudhulumiwa mmedhulumiwa sana, Kama kuteswa mmeteswa Sana mkilegeza kidogo TU chadema itakuwa Kama nccr, Cuf au TLP siku chache zijazo.
Wanachama, wafuasi, na wananchi kwa kiasi tuameanza kuchoka matamko na malalamiko yenu yaleyale ya siku zote, tunatamani kuona mbinu mpya na hatua zaidi ya makelele yasiyo na matokeo chanya
Na Pia kuendelea kutumia demokrasia ya kistaarabu kushindana na ccm heti kwamba kesho wakupeni nchi ni kusubiri dodo chini mkorosho, ccm wamevuka kiwango Cha uovu Sasa ni magaidi na mashetani wekundu kabisa ambao wako tayari kwa chochote mnachelewa nyinyi TU kuikomboa hii nchi.
Wananchi tuko tayari na dunia iko tayari mnasubiriwa nyinyi muunganishe nyaya ukombozi upatikane
😚😂😂( Ni jamaa kutoka ighanuda) 😂😂😂😂
Lengo lao kubwa ni kuwatisha Ili mpunguze Kasi, Kesi ya mbowe itapigwa danadana Sana mpaka pale ninyi mtakapo ishurutisha serikali kwa mbinu zozote zile.
Mapambano yenu kwa Sasa yalenge kuandaa makongamano mengi ya katiba mpya, msipofanya hivyo maana yake mtakuwa mmenasa kwenye mtego wa maadui.
Kesi ya mbowe ni ukurupukaji mkubwa wa serikali na vyombo vyake, na imewakwama kabisa haitafuniki,haitemeki, Wala haimezeki, kuendeleza makongamano ndio njia pekee itakayoongeza joto kali zaidi kwa serikali.
Makamanda huu sio mda wa kurudi nyuma Kama kuumizwa mmeumizwa Sana, kudhulumiwa mmedhulumiwa sana, Kama kuteswa mmeteswa Sana mkilegeza kidogo TU chadema itakuwa Kama nccr, Cuf au TLP siku chache zijazo.
Wanachama, wafuasi, na wananchi kwa kiasi tuameanza kuchoka matamko na malalamiko yenu yaleyale ya siku zote, tunatamani kuona mbinu mpya na hatua zaidi ya makelele yasiyo na matokeo chanya
Na Pia kuendelea kutumia demokrasia ya kistaarabu kushindana na ccm heti kwamba kesho wakupeni nchi ni kusubiri dodo chini mkorosho, ccm wamevuka kiwango Cha uovu Sasa ni magaidi na mashetani wekundu kabisa ambao wako tayari kwa chochote mnachelewa nyinyi TU kuikomboa hii nchi.
Wananchi tuko tayari na dunia iko tayari mnasubiriwa nyinyi muunganishe nyaya ukombozi upatikane
😚😂😂( Ni jamaa kutoka ighanuda) 😂😂😂😂