ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Kwahiyo kinachokuuma ni nini?Kwa sasa wanajuta sana, alikuwa anawakata bila kujua kama huko mbeleni kuna kazi kubwa inayohitaji pesa. Sasa wanafikilia kuwachangisha raia wapate pesa za Coverage kwenye media na magazeti
Kila nyuzi mtaziandika humu kumpinga Lissu. Lakini ni yeye.