Pre GE2025 CHADEMA hoja yenu iwe ni kuzuia wizi wa kura na siyo kuzuia uchaguzi

Pre GE2025 CHADEMA hoja yenu iwe ni kuzuia wizi wa kura na siyo kuzuia uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.

Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.

Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.

Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
 
Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya chadema ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja. hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora chadema washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda. hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election. kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
Wazuie kura zipi na wanaenda kuenguliwa wote kabla jogoo halijawika

Tena wasipokuwa makini hata mgombea uraisi pia ataenguliwa
 
Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya chadema ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja. hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora chadema washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda. hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election. kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
We ukinyimwa unyumba unaanza na kipi ili kushauri wenzako waingie kwenye ndoa
 
Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.

Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.

Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.

Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
Wote waliojaribu kuzuia wizi wa kura wametekwa na kuuawa, fuatilia uchaguzi wa serikali za mitaa uliosimamiwa na Mtukufu Mchengerwa
 
Uhalisia vyote haviwezekani kwa uchaguzi ujao.
 
Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.

Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.

Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.

Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
Kwanini mnaweweseka?!
images (1).jpeg
 
Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.

Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.

Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.

Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
unazuia wizi wa kura kama anaesimamia uchaguz kachaguliwa na mgombea mmoja wapo ? hv huelew maana ya REFORMS
 
Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.

Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.

Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.

Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
Kama wewe ni mwanaccm kama mimi lazima tujiulize chadema wanapata kiburi kutoka kwa nani Hadi kusema watazuia uchaguzi na kama hawana dola halisi ya kuwasapoti!!?

Kama kauli ya lisu ina sapoti ya mfumo hapo ndipo ilipokazi kuu!!
 
Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.

Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.

Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.

Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
Tafuta clip ya Nape akiwa jimboni kwa Byabato huko Kagera akivyokuwa anazungumzia namna ya kushinda uchaguzi kwa CCM then utaelewa hoja ya CHADEMA.

Ukizuia wizi wanamtangaza mgombea wa CCM kuwa kashinda hata kama aliahindwa kwa kura na hakuna utakachowafanya.

CCM ni laana kwa hili taifa.
 
Unataka wafe watu wangapi kisa uchaguzi ndio uriidhike??

Tumechoka kuona wapinzani wanauwa kila siku
kabisa ,ila ccmu inapandikiz mbaya sana , muda si mrefu mmea utamea na tutamea kama mbuz , tukilaumu mabeberu kumbe sisi ndo tumeumea huo mmea
 
Kama wewe ni mwanaccm kama mimi lazima tujiulize chadema wanapata kiburi kutoka kwa nani Hadi kusema watazuia uchaguzi na kama hawana dola halisi ya kuwasapoti!!?

Kama kauli ya lisu ina sapoti ya mfumo hapo ndipo ilipokazi kuu!!
shabikieni mauaji tu ila tambua muda ndo hutoa majibu kamili , kama mnahisi bunduki ndo mtetezi wenu bas tambua ipo siku wapinzani watatumia bunduki kama RENAMO ( MSUMBIJI ) AU RPF ( SIERRA LEON ) na wahanga tutakuwa mimi na ww

MWISHO YA KUJITOA AKILI NI KILIO , SHABIKIENI MKIHISI UPINZAN HAWAWEZ TUMIA SILAHA KAMA CCMU

TABIA KAMA HZ ZILIANZA SOMALIA , MOZAMBIQUE , LIBERIA , SIERRA LEONE , DRC , CENTRAL AFRICA , NIGERIA , SERIKALI ZILIJIFANYA ZINATUMIA MAUAJI KUTOSIKILIZA HOJA ZA WANANCHI , NA KUWAITA WAPINZANI WOTE WALE WALIOKOSOA UTENDAJI WA SERIKALI

HOJA ZA CHADEMA ZIPO WAZ KBS , HAIWEZEKANI WW MGOMBEA NDO UUNDE TUME YA UCHAGUZI , HAIWEZEKANI WW MGOMBEA WA NAFASI HIYO BADO UNAKUWA KWENYE NAFASI HIYO WAKATI WA UCHAGUZI , HIYO HAIWEZEKANI , MAREKEBISHO MIHIMU , TUKIPINGA LEO , KESHO TUTAWAACHIA WATOTO ZENU SABABU YA KUCHINJANA KAMA KUKU AU KAMA RWANDA , MAANA KIONGOZ HUYO HUYO ANA HAKI YA KULIAMURU JESHI LIVURUGE MATOKEO SABABU YUPO MADARAKANI NA ANAEZA MTUMBUA ATAKE KAIDI,


TUREKEBISHA KWA USALAMA WETU NA USALAMA WA VIZAZI VYETU , SIO VIZAZ VYOTE WATAKUWA MAMBULULA KAMA SISI , KIPO KIZAZ KITATAKA MABADILIKO WKT TUSHAUNDA HUU UTAMADUNI WA KUMPA RAIS NAFASI YA KUVURUGA UCHAGUZI , ANAGOMBEA HUKU KASHIKIRIA HIYO NAFASI ANAYOGOMBEA
 
shabikieni mauaji tu ila tambua muda ndo hutoa majibu kamili , kama mnahisi bunduki ndo mtetezi wenu bas tambua ipo siku wapinzani watatumia bunduki kama RENAMO ( MSUMBIJI ) AU RPF ( SIERRA LEON ) na wahanga tutakuwa mimi na ww

MWISHO YA KUJITOA AKILI NI KILIO , SHABIKIENI MKIHISI UPINZAN HAWAWEZ TUMIA SILAHA KAMA CCMU

TABIA KAMA HZ ZILIANZA SOMALIA , MOZAMBIQUE , LIBERIA , SIERRA LEONE , DRC , CENTRAL AFRICA , NIGERIA , SERIKALI ZILIJIFANYA ZINATUMIA MAUAJI KUTOSIKILIZA HOJA ZA WANANCHI , NA KUWAITA WAPINZANI WOTE WALE WALIOKOSOA UTENDAJI WA SERIKALI

HOJA ZA CHADEMA ZIPO WAZ KBS , HAIWEZEKANI WW MGOMBEA NDO UUNDE TUME YA UCHAGUZI , HAIWEZEKANI WW MGOMBEA WA NAFASI HIYO BADO UNAKUWA KWENYE NAFASI HIYO WAKATI WA UCHAGUZI , HIYO HAIWEZEKANI , MAREKEBISHO MIHIMU , TUKIPINGA LEO , KESHO TUTAWAACHIA WATOTO ZENU SABABU YA KUCHINJANA KAMA KUKU AU KAMA RWANDA , MAANA KIONGOZ HUYO HUYO ANA HAKI YA KULIAMURU JESHI LIVURUGE MATOKEO SABABU YUPO MADARAKANI NA ANAEZA MTUMBUA ATAKE KAIDI,


TUREKEBISHA KWA USALAMA WETU NA USALAMA WA VIZAZI VYETU , SIO VIZAZ VYOTE WATAKUWA MAMBULULA KAMA SISI , KIPO KIZAZ KITATAKA MABADILIKO WKT TUSHAUNDA HUU UTAMADUNI WA KUMPA RAIS NAFASI YA KUVURUGA UCHAGUZI , ANAGOMBEA HUKU KASHIKIRIA HIYO NAFASI ANAYOGOMBEA
Umenielewa ninachomaanisha au umekurukpuka!!?
Chadema haiwezi tumia nguvu ya imma coz mbinu hiyo ilishafeli mara nyingi sana!!

Sasa basi kauli yao hiyo Ina support toka wapi!!?najiuliza tu!!
 
Back
Top Bottom