Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.
Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.
Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.
Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.
Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.
Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.