Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Ngoja waje akina bibi chawa watasema yanayojiri hapo pori la kijaniDJ Mbowe anaendeleaje Bibi Erythrocyte ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja waje akina bibi chawa watasema yanayojiri hapo pori la kijaniDJ Mbowe anaendeleaje Bibi Erythrocyte ?
Mifumo ya uchaguzi ndiyo inspalilia wizi wa kura.Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.
Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.
Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.
Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
Mmezoea kushinda kwa hila,acheni kuweweseka.Atakaye chagua CHADEMA ndio atakaye ipeleka nchi hii kuangamia kabisa. Chagua kwa umakini 2025
njia pekee ni kuzuia mechi isiwepo kabisa ili kuzua ushindi batili, they must be bloodshed for that to happen though.Kina Mbowe, Dr. Slaa, Lowasa walishafanya sana hayo, Kujaribu kucheza na timu ambayo kuanzia refa mpaka Linesmen ni wa Tajiri, Guess what! Mpaka leo CCM inatamba!
Hakuna mtu wa kuzuia Uchaguzi Mkuu usifanyike! Hakuna!Tutazuia uchaguzi na sio kwamba tutasusia uchaguzi.
Kweli mmetumwaWazuie kura zipi na wanaenda kuenguliwa wote kabla jogoo halijawika
Tena wasipokuwa makini hata mgombea uraisi pia ataenguliwa
Tafuta clip ya Nape akiwa jimboni kwa Byabato huko Kagera akivyokuwa anazungumzia namna ya kushinda uchaguzi kwa CCM then utaelewa hoja ya CHADEMA.
Ukizuia wizi wanamtangaza mgombea wa CCM kuwa kashinda hata kama aliahindwa kwa kura na hakuna utakachowafanya.
CCM ni laana kwa hili taifa.
Tumetumwa na nani mkuuKweli mmetumwa
Vipi kama wakitangaza ajira vijana wa kwenda front?Hakuna mtu wa kuzuia Uchaguzi Mkuu usifanyike! Hakuna!
Hapo itakuwa Vita ya pesa maana ccm nao hawajambo kwenye sector hiyoVipi kama wakitangaza ajira vijana wa kwenda front?
Huu ujinga wako ulio uandika hapa ni kwasababu upo nyuma ya keyboards..... waulize waliopo field wakupe uhalisiaKwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja.
Hoja ambayo ni practical na ingekuwa na mashiko ni kuelemisha wananchi wazuie wizi wa kura kwa namna yoyote ile. kuzuia uchaguzi ni kujindaganya ni bora CHADEMA washiriki lakini watafute mikakati ya kuzuia wizi wa kura na kuzuia kutangaza wasioshinda.
Hii ni pamoja na kupitia mchakato mzima kuona nini kifanyike ili kuzuia maonevu. wafanye utafiti ili kupata suluhisho. washirikishe viongozi wa dini, wasome, nk kupata mawazo mbadala. option b ya mkakati wa no reform no election.
Soma Pia: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Kauli ya No Reform No Election hatujasema tunasusia Uchaguzi. Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa
Kukosa option B ndiyo failure yenyewe.ELIMU NA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI iweni kipaumbule chetu.
Umeanza mada yako na mstari mbovu kabisa; na mengine yaliyo fuata pamoja na kuwa yanajadilika lakini uzito wake umepunguzwa na hitimisho lako bovu hilo!Kwa jinsi ninavyoiona hoja ya CHADEMA ya no reform no election haija kaa vizuri inalenga kukiua chama moja kwa moja