johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa...... Wamemchosha bure babu Duni!Povu litamtoka muda sio mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa...... Wamemchosha bure babu Duni!Povu litamtoka muda sio mrefu
AkomePovu litamtoka muda sio mrefu
Lakini Mama hataki vitu vya dhuluma!Liwe fundisho kwa wapumbafu wengine kabisa, hatuna tume huru lakini bado unang'an'gania
Wapate kupitia wapi?Hapa sababu Mbowe hataki wenzake wapate kisa yeye alikosa ubunge.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
@ZittoZitto ni kigeugeu sn hana akili, CCM ni ileile, tume ni tawi la CCM, polisi ni CCM, DC, DAS, DED, DSO pamoja na wakuu wa idara ni CCM alafu bado unataka ushindi, yaani nyumba 1 amezungukwa na Simba 13 alafu anapambana nao kweli atashinda?
Naam !!!CCM Kwenye uchaguzi wanakuwa wanyama kabisa,hawa jamaa hawana urafiki Kwenye chakula
Chadema waliielewa vizuri ile kauli ya "mimi na mwendazake ni kitu kimoja" Zito hakuielewa. Bila kufanya hivyo CCM ni chali alfajiri tu!!!!Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mbowe alisema Chadema haitashiriki uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi.
Zitto Kabwe akasema kwa sababu hii ni awamu ya 6 hawana shaka yoyote na tume ya uchaguzi
Leo wakati wananchi wanapiga kura kwa utulivu na amani Zitto Kabwe anaturejesha kwenye tamthilia ya Halima Mdee.
Simba 5 Mufulira Wonders 0
Kazi Iendelee!
Hayupo humu@Zitto
Nani kakwambia?Lakini Mama hataki vitu vya dhuluma!
Zitto ni kijana mbinafsi sana, umimi utammaliza, kwanini asiungane na wapinzani wenzake wenye mwelekeo?Acha Zitto apate alichostahili. Kama alidhani CCM wana hata chembe ya utu na huruma linapokuja suala la kupora uchaguzi, he must now think twice
Mbona humjatag rafiki yako Mmawia?Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Mbowe alisema Chadema haitashiriki uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi.
Zitto Kabwe akasema kwa sababu hii ni awamu ya 6 hawana shaka yoyote na tume ya uchaguzi
Leo wakati wananchi wanapiga kura kwa utulivu na amani Zitto Kabwe anaturejesha kwenye tamthilia ya Halima Mdee.
Simba 5 Mufulira Wonders 0
Kazi Iendelee!
Nani anataka kukosa mgao wa ghorofa jipya, gari na pension nono!
Jamaa linatamani misosi yote ale yeye