CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Mbinu za CCM ni wizi unaoratibiwa na vyombo vya dola hasa TISS na Polisi pamoja na Tume yenyewe ya uchaguzi ndiyo maana leo hii kura haina thamani tena.CCM ina mbinu nyingi CHADEMA itafute watu makini kukabiliana na hizi mbinu.