CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Mbinu za CCM ni wizi unaoratibiwa na vyombo vya dola hasa TISS na Polisi pamoja na Tume yenyewe ya uchaguzi ndiyo maana leo hii kura haina thamani tena.CCM ina mbinu nyingi CHADEMA itafute watu makini kukabiliana na hizi mbinu.
Kanda ya Ziwa hawakubali Mama , hata hapo Busisi kwa mama ntilie wauza ugali na dagaa , wewe ni mwandishi nenda kawaulize tena wanajua kuwa JPM alii na waliopo Sasa , pia sisi Kanda ya Ziwa sio jadi kutawaliwa na MwanamkeKweli daraja hilo ni kazi ya JPM, Samia, amemalizia tuu, lakini kwa sasa credits ni kwa Samia. Narudia tena lile swali, kuna mtu atavuka daraja hilo bila kusema asante JPM, asante mama?. Kuna mtu atavuka hapo na kupeleka kura yake sijui wapi?.
P
Hili ni tatizo kubwa la ubaguzi, na nimelitaja humu Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji hivyo pia nimeshauri Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?Kanda ya Ziwa hawakubali Mama , hata hapo Busisi sisi Kanda ya Ziwa sio jadi kutawaliwa na Mwanamke
Washindwe wenyeweeeeWananchi wameishaikataa CCM na Rais, ushahidi kidogo Tu WA wazi huu hapa:
Hakika Viongozi wa CCM Mkoa wa Mara hususani Tarime wanapitia wakati mgumu sana.
Huyu anaitwa Patrick Chandi ni Mwenyekiti wa @ccm_tanzania Mkoa wa Mara.
Hapa yupo kwenye Mkutano wa hadhara Nyamongo.
Wananchi hawamtaki, hawataki CCM kabisa.
Wananchi wanazomea.
Source: X
View attachment 3236878
Kanda ya Ziwa kama Wamarekani tu, mfumo dume umeasisiwa na Mungu mwenyewe.Hili ni tatizo kubwa la ubaguzi, na nimelitaja humu
P
Tofautisha ubaguzi na jadiHili ni tatizo kubwa la ubaguzi, na nimelitaja humu Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji hivyo pia nimeshauri
P
Wewe chawa na malaya wa kisiasa nani amekwambia tunashida na uchaguzi wala kura mwaka huu?Endeleeni kulishana matango pori muda wa kura bado!
Ubaguzi ni ubaguzi tuu!. Jadi zozote za kuwabagua wanawake kwenye jambo lolote, ni jadi za kibaguzi, ni za kupigwa vita!.Tofautisha ubaguzi na jadi
La haulaa!kuinadi CCM ni sawa na kupulizia kinyesi pafyumu