LGE2024 CHADEMA iachane na uchaguzi wa serikali za mitaa na kutangaza rasmi kutoshiriki uchaguzi

LGE2024 CHADEMA iachane na uchaguzi wa serikali za mitaa na kutangaza rasmi kutoshiriki uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.

Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
 
 
Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.

Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
haina umuhimu wala, haina maana yoyote Chadema wakishiriki au wasiposhiriki uchaguzi huo muhimu na wakihistoria.

vyama vingine vya siasa wakishiriki fursa hiyo muhimu inatosha kabisa kuwakilisha wanainchi na itapendeza zaidi 🐒
 
Viongoz wa kitongoji na vijiji watekelezaji wa maagizo toka ngazi ya kata na wilaya so ni wa muhimu sana kuliko unavyodhani
Watekelazaji wanasubiria maelekezo tu kutoka juu kwa hiyo hata ikiwa CHADEMA wanaongoza Halmashauri watatekeleza maelekezo ya CHADEMA.
 
Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.

Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
Unashauri ujinga!
 
Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.

Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.

Then wambie wakaanzishe timu ya mpira
Chadema football club
 
Hii ndo awamu ya wao kuambulia chochote kitu afu unawashauri hvy 😂
 
Sina uelewa mkubwa wa siasa ,ila naufahamu mfumo wa uongozi na mgawanyo wa madaraka{General to Local}
Hivyo Ni Muhimu Sana!
 
Kwani mwaka huu wasimamizi wa uchaguzi hawajaambiwa kauli ya "mshahara unalipwa na serikali ya sisemu halafu unamtangaza mpinzania?", kama imetolewa hiyo kauli, basi wasishiriki si kwa sababu ngazi hizo hazina umuhimu, bali kwa kuwa ni upotezaji wa muda.
 
Back
Top Bottom