LGE2024 CHADEMA iachane na uchaguzi wa serikali za mitaa na kutangaza rasmi kutoshiriki uchaguzi

LGE2024 CHADEMA iachane na uchaguzi wa serikali za mitaa na kutangaza rasmi kutoshiriki uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mfumo mzima wa elimu nchini ufumuliwe.

Inakuaje Una mawazo Kama haya?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Ahahahaha, ndo ukweli Mzee, hzo nyingine ni disclaimers tu na face keeping. Kuwa neutral nikusema you are thoughtless and so unemotional
 
Aina haha kushiriki uchaguzi wowote ule, Kwa mazingira ya kisiasa yalivyo, kushiriki chaguzi hizi ni kubariki katiba tuliyonayo pia ni kubariki utekajiunaoendelea
 
Kwani mwaka huu wasimamizi wa uchaguzi hawajaambiwa kauli ya "mshahara unalipwa na serikali ya sisemu halafu unamtangaza mpinzania?", kama imetolewa hiyo kauli, basi wasishiriki si kwa sababu ngazi hizo hazina umuhimu, bali kwa kuwa ni upotezaji wa muda.
Hiyo kauli bado inaishi hata wasipoambiwa
 
Aina haha kushiriki uchaguzi wowote ule, Kwa mazingira ya kisiasa yalivyo, kushiriki chaguzi hizi ni kubariki katiba tuliyonayo pia ni kubariki utekajiunaoendelea
CHADEMA kuna muda hawajielewei
 
Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.

Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
Kwani watakuwa wanamkomoa nani? Vyama vingine si vitashiriki au?

Mwisho siungi mkono kuengua wagombea wa Upinzani Kwa sababu zisizo na mashiko.
 
Kwani watakuwa wanamkomoa nani? Vyama vingine si vitashiriki au?

Mwisho siungi mkono kuengua wagombea wa Upinzani Kwa sababu zisizo na mashiko.
Kwani hata wakishiriki itawasaidia nini wakati wataenguliwa karibu wote na kubakishwa wachache tu kama ushahidi kwamba CHADEMA walishiriki kikamilifu na kuihadaha dunia kuna demokrasia
 
Wenyeviti wa serikali za mitaa wanaweza kuleta mabadiliko gani kati nchi??
Hao ndio wanaweza kuwatafutia kura za Urais maana wanaishi na watu au kuwapatia wagombea sahihi.

Kwani Mabadiliko yanaletwa na nani?
 
Hao ndio wanaweza kuwatafutia kura za Urais maana wanaishi na watu au kuwapatia wagombea sahihi.

Kwani Mabadiliko yanaletwa na nani?
Kura za urais huwa zinatafutwa nchi hii au zipo tu??
 
Back
Top Bottom