LGE2024 CHADEMA iachane na uchaguzi wa serikali za mitaa na kutangaza rasmi kutoshiriki uchaguzi

LGE2024 CHADEMA iachane na uchaguzi wa serikali za mitaa na kutangaza rasmi kutoshiriki uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.

Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
Kwanza nashangaa wanashiriki vipi wakati walishasema hawatashiriki uchaguzi wowote mpaka ipatikane Katiba Mpya!! Lakini kwa sababu viongozi wao wanawaongoza nyumbu sinapelekeshwa tu!!
 
Visingizio vya Kushindwa
CHADEMA ingeshindaje ubunge kwa kina Nape, Makamba, Majaliwa na sehemu nyingine nyingi wakati hata wagombea wake hawakuweza kupata fursa ya kugombea kwa kuanzia?? Ulitegemea miujiza ifanyike majina ya wagombea wa CHADEMA walioenguliwa au kuporwa fomu yatokee katika karatasi za kupiga kura??
 
CHADEMA ingeshindaje ubunge kwa kina Nape, Makamba, Majaliwa na sehemu nyingine nyingi wakati hata wagombea wake hawakuweza kupata fursa ya kugombea kwa kuanzia?? Ulitegemea miujiza ifanyike majina ya wagombea wa CHADEMA walioenguliwa au kuporwa fomu yatokee katika karatasi za kupiga kura??
Visingizio fc
 
CHADEMA kuna muda hawajielewei
Kuna muda gani wanajielewa?Lissu anadai hawana uwezo wa kusimamisha wagombea laki 3 kwenye vitongoji vyote. Viongozi wengine wanadai wanafanyiwa vigisu.Chama hakina musuli wa kushindana kimebakia na visingizio na sababu za kijinga.Huwezi kushinda uchaguzi wowote kama huna nguvu kwenye grassroots ambako ndio kwenye kura nyingi.Ukitegemea mijini utashindwa tu.
 
CHADEMA ingeshindaje ubunge kwa kina Nape, Makamba, Majaliwa na sehemu nyingine nyingi wakati hata wagombea wake hawakuweza kupata fursa ya kugombea kwa kuanzia?? Ulitegemea miujiza ifanyike majina ya wagombea wa CHADEMA walioenguliwa au kuporwa fomu yatokee katika karatasi za kupiga kura??
 
Kuna muda gani wanajielewa?Lissu anadai hawana uwezo wa kusimamisha wagombea laki 3 kwenye vitongoji vyote. Viongozi wengine wanadai wanafanyiwa vigisu.Chama hakina musuli wa kushindana kimebakia na visingizio na sababu za kijinga.Huwezi kushinda uchaguzi wowote kama huna nguvu kwenye grassroots ambako ndio kwenye kura nyingi.Ukitegemea mijini utashindwa tu.
Pumba, chama hakina nguvu huku mnaengua wagombea wake.
 
Pumba, chama hakina nguvu huku mnaengua wagombea wake.
Lissu anaongopa anaposema hamna uwezo wa kusimamisha wagombea laki 3?Muenguliwe wa nini wakati hamna wagombea?Au Lissu anazusha?
 
Back
Top Bottom