ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Visingizio vya KushindwaWrong question,
Swahili sahihi, unategemeaje kushinda ikiwa refa ana upande tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Visingizio vya KushindwaWrong question,
Swahili sahihi, unategemeaje kushinda ikiwa refa ana upande tayari
Kwanza nashangaa wanashiriki vipi wakati walishasema hawatashiriki uchaguzi wowote mpaka ipatikane Katiba Mpya!! Lakini kwa sababu viongozi wao wanawaongoza nyumbu sinapelekeshwa tu!!Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.
Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
CHADEMA ingeshindaje ubunge kwa kina Nape, Makamba, Majaliwa na sehemu nyingine nyingi wakati hata wagombea wake hawakuweza kupata fursa ya kugombea kwa kuanzia?? Ulitegemea miujiza ifanyike majina ya wagombea wa CHADEMA walioenguliwa au kuporwa fomu yatokee katika karatasi za kupiga kura??Visingizio vya Kushindwa
Visingizio fcCHADEMA ingeshindaje ubunge kwa kina Nape, Makamba, Majaliwa na sehemu nyingine nyingi wakati hata wagombea wake hawakuweza kupata fursa ya kugombea kwa kuanzia?? Ulitegemea miujiza ifanyike majina ya wagombea wa CHADEMA walioenguliwa au kuporwa fomu yatokee katika karatasi za kupiga kura??
Kuna muda gani wanajielewa?Lissu anadai hawana uwezo wa kusimamisha wagombea laki 3 kwenye vitongoji vyote. Viongozi wengine wanadai wanafanyiwa vigisu.Chama hakina musuli wa kushindana kimebakia na visingizio na sababu za kijinga.Huwezi kushinda uchaguzi wowote kama huna nguvu kwenye grassroots ambako ndio kwenye kura nyingi.Ukitegemea mijini utashindwa tu.CHADEMA kuna muda hawajielewei
CHADEMA ingeshindaje ubunge kwa kina Nape, Makamba, Majaliwa na sehemu nyingine nyingi wakati hata wagombea wake hawakuweza kupata fursa ya kugombea kwa kuanzia?? Ulitegemea miujiza ifanyike majina ya wagombea wa CHADEMA walioenguliwa au kuporwa fomu yatokee katika karatasi za kupiga kura??
Pumba, chama hakina nguvu huku mnaengua wagombea wake.Kuna muda gani wanajielewa?Lissu anadai hawana uwezo wa kusimamisha wagombea laki 3 kwenye vitongoji vyote. Viongozi wengine wanadai wanafanyiwa vigisu.Chama hakina musuli wa kushindana kimebakia na visingizio na sababu za kijinga.Huwezi kushinda uchaguzi wowote kama huna nguvu kwenye grassroots ambako ndio kwenye kura nyingi.Ukitegemea mijini utashindwa tu.
Lissu anaongopa anaposema hamna uwezo wa kusimamisha wagombea laki 3?Muenguliwe wa nini wakati hamna wagombea?Au Lissu anazusha?Pumba, chama hakina nguvu huku mnaengua wagombea wake.
Pumba, chama hakina nguvu huku mnaengua wagombea wake.