haina umuhimu wala, haina maana yoyote Chadema wakishiriki au wasiposhiriki uchaguzi huo muhimu na wakihistoria.Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.
Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
Watekelazaji wanasubiria maelekezo tu kutoka juu kwa hiyo hata ikiwa CHADEMA wanaongoza Halmashauri watatekeleza maelekezo ya CHADEMA.Viongoz wa kitongoji na vijiji watekelezaji wa maagizo toka ngazi ya kata na wilaya so ni wa muhimu sana kuliko unavyodhani
Unashauri ujinga!Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.
Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
Ni sheria so lazima wafanye hivoWatekelazaji wanasubiria maelekezo tu kutoka juu kwa hiyo hata ikiwa CHADEMA wanaongoza Halmashauri watatekeleza maelekezo ya CHADEMA.
Sijawahi kuona umuhimu wa nafasi za wanyeviti wa wa serikali za mitaa katika mabadiliko au maendeleo ya nchi, kikubwa ninachokifahamu kama sehemu ya majukumu yao ni kugongea mihuri watu tu. Maamuzi yote muhimu huwa yanafanywa ngazi ya Halmashauri ya wilaya na kata.
Katika huu uchaguzi unaotarajiwa wa serikali za mitaa CHADEMA ni kama wapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje, wafanye uamuzi kamili na watoe msimamo wao kuhusu uchaguzi, kwa uhalisia hakuna umuhimu wa wao kushiriki, sioni faida yoyote itokanayo na wao kushriki huu uchaguzi, uchaguzi muhimu zaidi ni wa mwakani wa madiwani, ubunge na urais.
Kila nikikuona.....Hii ndo awamu ya wao kuambulia chochote kitu afu unawashauri hvy π
Unapadwa na hamu au πKila nikikuona.....
Natamani kukukalia unipakate siku nzimaUnapadwa na hamu au π
Njoo pm babe, mzigo umeshasimama tayari kwa shughuli ya kukupa rahaNatamani kukukalia unipakate siku nzima
Nakuja daddy, leo usiku nakupigiaNjoo pm babe, mzigo umeshasimama tayari kwa shughuli ya kukupa raha