Pre GE2025 CHADEMA ielekeze nguvu kwenye Udiwani na Ubunge, Urais bado

Pre GE2025 CHADEMA ielekeze nguvu kwenye Udiwani na Ubunge, Urais bado

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MTANZANIA620

Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
65
Reaction score
81
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa uongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuelekea uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba, 2025 kwamba kwa viashiria vyote vya kitafiti na kiuchambuzi wa sayansi ya siasa na masuala ya kiuchaguzi siioni nafasi yao katika kushinda Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikiwa walimudu kusimamisha wagombea asilimia 33 tu kote nchini kabla ya kudai kuondolewa ni tafsiri ya kukosekana uongozi imara kuanzia ngazi za chini hadi kanda.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa kazi za maendeleo zilizofanyika na mwenendo huu tunaouona nashawishika kusema Rais aliopo Dkt Samia Suluhu Hassan atashinda tena kwa kishindo.

Sasa kwa kuwa tunahitaji wapinzani wazuri bungeni ni rai yangu chama hiki kielekeze nguvu kwenye udiwani na ubunge angalau waambulie wawakilishi wachache kule kuliko kupoteza muda na Urais halafu wakapigwa pakubwa sana.

Au wanajukwaa mnaonaje???
 
Ni mpumbavu Tu atakayesapoti huu upumbavu ulioandika, ningekua mimi Niko CCM kile kitendo Tu cha Mwenyekiti wenu kuwapiga chenga Mchana kweupe ingekua ni bonge la red flag.....ila sasa mnavyojitoa ufahamu Hadi mnakera
 
Kizimkazi kutoka kutumwa kubeba mafaili mpaka Urais alisomea wapi?
 
Ndio hivyo, mama Samia atashinda tuu maana ushindi wake hautegemei idadi ya Kura, tume ya uchaguzi ingekua huru angeangushwa Kwa kishindo
Za ndaaaani kabisa nasikia, Polisi (baadhi) wameapa kutoshiriki huu upumbavu wa kuumiza wananchi Tena kwa Kivuli cha CCM.

Kwahio tutegemee greenguard kufanya huo uharibifu
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa uongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuelekea uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba, 2025 kwamba kwa viashiria vyote vya kitafiti na kiuchambuzi wa sayansi ya siasa na masuala ya kiuchaguzi siioni nafasi yao katika kushinda Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikiwa walimudu kusimamisha wagombea asilimia 33 tu kote nchini kabla ya kudai kuondolewa ni tafsiri ya kukosekana uongozi imara kuanzia ngazi za chini hadi kanda.

Kwa kazi za maendeleo zilizofanyika na mwenendo huu tunaouona nashawishika kusema Rais aliopo Dkt Samia Suluhu Hassan atashinda tena kwa kishindo.

Sasa kwa kuwa tunahitaji wapinzani wazuri bungeni ni rai yangu chama hiki kielekeze nguvu kwenye udiwani na ubunge angalau waambulie wawakilishi wachache kule kuliko kupoteza muda na Urais halafu wakapigwa pakubwa sana.

Au wanajukwaa mnaonaje???
naunga mkono hoja Pre GE2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!
P
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa uongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuelekea uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba, 2025 kwamba kwa viashiria vyote vya kitafiti na kiuchambuzi wa sayansi ya siasa na masuala ya kiuchaguzi siioni nafasi yao katika kushinda Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikiwa walimudu kusimamisha wagombea asilimia 33 tu kote nchini kabla ya kudai kuondolewa ni tafsiri ya kukosekana uongozi imara kuanzia ngazi za chini hadi kanda.

Kwa kazi za maendeleo zilizofanyika na mwenendo huu tunaouona nashawishika kusema Rais aliopo Dkt Samia Suluhu Hassan atashinda tena kwa kishindo.

Sasa kwa kuwa tunahitaji wapinzani wazuri bungeni ni rai yangu chama hiki kielekeze nguvu kwenye udiwani na ubunge angalau waambulie wawakilishi wachache kule kuliko kupoteza muda na Urais halafu wakapigwa pakubwa sana.

Au wanajukwaa mnaonaje???
Hiki ndicho kitu wapinzani wameshindwa kwa miaka mingi kukielewa. Nimewahi kusema hapa miaka ya nyuma kwamba kama wangewekeza nguvu kubwa zaidi kwenye ubunge na (kwa umoja wao) kupata majority ya viti vya Bunge, wangeweza kufanya reforms zozote wanazozitaka wao kwa miswada yao wenyewe. Speaker akitoka upande wa upinzani, lazima ndoto ya level playing field iwe reality!
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa uongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuelekea uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba, 2025 kwamba kwa viashiria vyote vya kitafiti na kiuchambuzi wa sayansi ya siasa na masuala ya kiuchaguzi siioni nafasi yao katika kushinda Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikiwa walimudu kusimamisha wagombea asilimia 33 tu kote nchini kabla ya kudai kuondolewa ni tafsiri ya kukosekana uongozi imara kuanzia ngazi za chini hadi kanda.

Kwa kazi za maendeleo zilizofanyika na mwenendo huu tunaouona nashawishika kusema Rais aliopo Dkt Samia Suluhu Hassan atashinda tena kwa kishindo.

Sasa kwa kuwa tunahitaji wapinzani wazuri bungeni ni rai yangu chama hiki kielekeze nguvu kwenye udiwani na ubunge angalau waambulie wawakilishi wachache kule kuliko kupoteza muda na Urais halafu wakapigwa pakubwa sana.

Au wanajukwaa mnaonaje???
Traole chama chake kina wabunge na madiwani wangapi?

Je urais umemshinda? Au ndo utindio ndo unawafanya mfikiri kwa kutumia makalio
 
Sijui mnamaanisha nini mnaposema waongeze nguvu kwenye Ubunge..

Kwenye vyama vyote vya siasa Tanzania kuwa mbunge si juhudi binafsi? Offcourse na ushawishi wa Chama na Mgombea urais?

Hamjui influency ya mgombea Urais inavyosaidia kupata wabunge wengi...

Mfano Edo, ndio mwanasiasa pekee amewah vuta idadi kubwa ya wabunge wa upinzani toka Uchaguzi wa vyama vingi Tanzania, nafikiri ni baada ya Lyatonga Mrema wa 1995

CDM kuna mpasuko mkubwa na aliepewa Chama anataka kulipa kisasi, anatamani aendelee kuongea anashindwa lakini strategy za kukipeleka mbele zimemuishia...

Wajanja wanatega kuteuliwa kugombea na wengine viti maalumu , future ya Chama ni nobody's business...what a shame?
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa uongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuelekea uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba, 2025 kwamba kwa viashiria vyote vya kitafiti na kiuchambuzi wa sayansi ya siasa na masuala ya kiuchaguzi siioni nafasi yao katika kushinda Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikiwa walimudu kusimamisha wagombea asilimia 33 tu kote nchini kabla ya kudai kuondolewa ni tafsiri ya kukosekana uongozi imara kuanzia ngazi za chini hadi kanda.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa kazi za maendeleo zilizofanyika na mwenendo huu tunaouona nashawishika kusema Rais aliopo Dkt Samia Suluhu Hassan atashinda tena kwa kishindo.

Sasa kwa kuwa tunahitaji wapinzani wazuri bungeni ni rai yangu chama hiki kielekeze nguvu kwenye udiwani na ubunge angalau waambulie wawakilishi wachache kule kuliko kupoteza muda na Urais halafu wakapigwa pakubwa sana.

Au wanajukwaa mnaonaje???
Kwa hizi chaguzi za kishenzi huu ushauri wako ni sahihi. Kwa maneno marahisi uchaguzi hapa nchini ni kukamilisha ratiba, lakini matokeo mnayo mfukoni. Hamtaki rais aliyepo ashindanishwe maana mnaona aibu kumjazia kura za wizi wakati hana uwezo wa kushinda mtakavyo.
 
Sijui mnamaanisha nini mnaposema waongeze nguvu kwenye Ubunge..

Kwenye vyama vyote vya siasa Tanzania kuwa mbunge si juhudi binafsi? Offcourse na ushawishi wa Chama na Mgombea urais?

Hamjui influency ya mgombea Urais inavyosaidia kupata wabunge wengi...

Mfano Edo, ndio mwanasiasa pekee amewah vuta idadi kubwa ya wabunge wa upinzani toka Uchaguzi wa vyama vingi Tanzania, nafikiri ni baada ya Lyatonga Mrema wa 1995

CDM kuna mpasuko mkubwa na aliepewa Chama anataka kulipa kisasi, anatamani aendelee kuongea anashindwa lakini strategy za kukipeleka mbele zimemuishia...

Wajanja wanatega kuteuliwa kugombea na wengine viti maalumu , future ya Chama ni nobody's business...what a shame?
Dua la kuku...
 
Hiki ndicho kitu wapinzani wameshindwa kwa miaka mingi kukielewa. Nimewahi kusema hapa miaka ya nyuma kwamba kama wangewekeza nguvu kubwa zaidi kwenye ubunge na (kwa umoja wao) kupata majority ya viti vya Bunge, wangeweza kufanya reforms zozote wanazozitaka wao kwa miswada yao wenyewe. Speaker akitoka upande wa upinzani, lazima ndoto ya level playing field iwe reality!
Kwamba wabunge wakipata wengi ndio sheria zitafuatwa? Watapataje wabunge wengi kwa hizi chaguzi za kihayawani?
 
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa uongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuelekea uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba, 2025 kwamba kwa viashiria vyote vya kitafiti na kiuchambuzi wa sayansi ya siasa na masuala ya kiuchaguzi siioni nafasi yao katika kushinda Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikiwa walimudu kusimamisha wagombea asilimia 33 tu kote nchini kabla ya kudai kuondolewa ni tafsiri ya kukosekana uongozi imara kuanzia ngazi za chini hadi kanda.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa kazi za maendeleo zilizofanyika na mwenendo huu tunaouona nashawishika kusema Rais aliopo Dkt Samia Suluhu Hassan atashinda tena kwa kishindo.

Sasa kwa kuwa tunahitaji wapinzani wazuri bungeni ni rai yangu chama hiki kielekeze nguvu kwenye udiwani na ubunge angalau waambulie wawakilishi wachache kule kuliko kupoteza muda na Urais halafu wakapigwa pakubwa sana.

Au wanajukwaa mnaonaje???
Lisu yeye anahanyahanya tu hajiandai Kwa chochote
 
Sahihi kabisa, bado hawana presidential material..... wana bingwa wa matusi, kashfa. Ngoja uchaguzi uishe aonje kamoto kidogo, hata miezi 6
 
Back
Top Bottom