ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 496
- 570
"Bila mabadiliko uchaguzi hamna" zungumzieni mabadiliko ya tume ya uchaguzi kwanza ndio mtoe ushauri kwa chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa tume ipi kaka? wewe ni mdau ambae unatakiwa uanze kutoa makala kuhusu kuboreshwa kwa tume ya uchaguzi ili ipatikane tume huru ya uchaguzi, kuongea ukweli sio dhambi kaka.
Kwani ukimwi umeua watu wote? Kwakuwa haujaua watu wote hiyo ni ishara kuwa wanaosemakana wamekufa kwa ukimwi ni uongo?Mbona yule Nkasi alishinda?
Naona uko nje ya nchi, hivyo unaongea nadharia lakini hujui uhalisia.They have to make the best of a bad situation! Kumbuka, baada ya general election ya 2015 wapinzani walikuwa na viti vingi Bungeni pamoja na kwamba wamekuwa na tatizo la kushindwa kuvipa viti vya ubunge priority. Kama priorities zao zingekuwa sawa, pengine kufikia wakati huo, kwa umoja wao, wangekuwa wameshapata controlling majority ya viti vya Bunge. Wakishakuwa na control ya Bunge, yumkini unajua, wanaweza kufuta sheria kandamizi.
Hebu tulia we Lembris Mchome.Tupo hapa mkuu,
The best way to predict the future is by creating it.