Pre GE2025 CHADEMA ielekeze nguvu kwenye Udiwani na Ubunge, Urais bado

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"Bila mabadiliko uchaguzi hamna" zungumzieni mabadiliko ya tume ya uchaguzi kwanza ndio mtoe ushauri kwa chama.
 
Chadema washiriki uchaguzi ambao Nape alisema wazi kabisa hauamuliwi na kura halali za wananchi bali anayetanga,a matokeo ili Iweje?
 
Naona uko nje ya nchi, hivyo unaongea nadharia lakini hujui uhalisia.
 
Hata ubunge na udiwani hawatoboi kwa mbinu nilizoshuhudia za wizi wa kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…