Pre GE2025 CHADEMA ikifanikiwa kukamata vijana wa 1995-2012 mwaka 2030 Uraisi ni wao.

Pre GE2025 CHADEMA ikifanikiwa kukamata vijana wa 1995-2012 mwaka 2030 Uraisi ni wao.

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

PLATO_

Senior Member
Joined
Jan 25, 2020
Posts
116
Reaction score
230
Sijui Chadema wataacha lini kupiga siasa za mitandaoni na kuingia vijijini ambako asilimia kubwa ya wapiga kura wanatokea huko.
CCM wanajibebea tu maujiko kwa mama zetu, uncle zetu, Baba zetu, shangazi zetu Babu zetu na Bibi zetu hii yote ni kwa sababu CCM wanabebwa na Historia.
Asilimia kubwa ya ndugu zangu wa vijijini hupigia kura chama na sio mtu kwa sababu ya historia.

Uchaguzi wa mwaka 2025 CHADEMA wanatakiwa kufocus zaidi kuhakikisha walau kila kata wanapata walau mwenyekiti mmoja wa kijiji.

CHADEMA wanatakiwa kuhakikisha kila kijiji walau wanapata hata wenyeviti wa vitongoji wanaotokana na hicho chama.

CHADEMA pia wanatakiwa kuhakikisha mwaka 2025 wanaingiza Madiwani na Wabunge wengi ili kuhakikisha wanawavuta watu wengi zaidi kuelekea 2030.

CHADEMA Imekuwa kila siku inaikabiri njaaa kwa mbinu za Jana. Mnatakiwa kuwaandaa vijana hao wa 95-2012 ambao ndio watakuwa wapiga kura wakuu.

NB, CHADEMA NENDENI VIJIJINI MKAZALISHE WATU.
 
Sijui Chadema wataacha lini kupiga siasa za mitandaoni na kuingia vijijini ambako asilimia kubwa ya wapiga kura wanatokea huko.
CCM wanajibebea tu maujiko kwa mama zetu, uncle zetu, Baba zetu, shangazi zetu Babu zetu na Bibi zetu hii yote ni kwa sababu CCM wanabebwa na Historia.
Asilimia kubwa ya ndugu zangu wa vijijini hupigia kura chama na sio mtu kwa sababu ya historia.

Uchaguzi wa mwaka 2025 CHADEMA wanatakiwa kufocus zaidi kuhakikisha walau kila kata wanapata walau mwenyekiti mmoja wa kijiji.

CHADEMA wanatakiwa kuhakikisha kila kijiji walau wanapata hata wenyeviti wa vitongoji wanaotokana na hicho chama.

CHADEMA pia wanatakiwa kuhakikisha mwaka 2025 wanaingiza Madiwani na Wabunge wengi ili kuhakikisha wanawavuta watu wengi zaidi kuelekea 2030.

CHADEMA Imekuwa kila siku inaikabiri njaaa kwa mbinu za Jana. Mnatakiwa kuwaandaa vijana hao wa 95-2012 ambao ndio watakuwa wapiga kura wakuu.

NB, CHADEMA NENDENI VIJIJINI MKAZALISHE WATU.
Wana mpango wa kutembea na gari la lisu lililopigwa risasi, pia wana sera ya Uzanzibari na Utanganyika. Bila kusahau matusi na kujiona kuwa wao ndio wana akili kuliko watu wengine. Kila la kheri.
 
Sijui Chadema wataacha lini kupiga siasa za mitandaoni na kuingia vijijini ambako asilimia kubwa ya wapiga kura wanatokea huko.
CCM wanajibebea tu maujiko kwa mama zetu, uncle zetu, Baba zetu, shangazi zetu Babu zetu na Bibi zetu hii yote ni kwa sababu CCM wanabebwa na Historia.
Asilimia kubwa ya ndugu zangu wa vijijini hupigia kura chama na sio mtu kwa sababu ya historia.

Uchaguzi wa mwaka 2025 CHADEMA wanatakiwa kufocus zaidi kuhakikisha walau kila kata wanapata walau mwenyekiti mmoja wa kijiji.

CHADEMA wanatakiwa kuhakikisha kila kijiji walau wanapata hata wenyeviti wa vitongoji wanaotokana na hicho chama.

CHADEMA pia wanatakiwa kuhakikisha mwaka 2025 wanaingiza Madiwani na Wabunge wengi ili kuhakikisha wanawavuta watu wengi zaidi kuelekea 2030.

CHADEMA Imekuwa kila siku inaikabiri njaaa kwa mbinu za Jana. Mnatakiwa kuwaandaa vijana hao wa 95-2012 ambao ndio watakuwa wapiga kura wakuu.

NB, CHADEMA NENDENI VIJIJINI MKAZALISHE WATU.
Cdm wakazalishe vijana vijijini kisha wakati wa uchaguzi mwenyekiti wa ccm aigize tume kutangaza washindi wa ccm? Huo upuuzi umeshapitwa na wakati.
 
Sijui Chadema wataacha lini kupiga siasa za mitandaoni na kuingia vijijini ambako asilimia kubwa ya wapiga kura wanatokea huko.
CCM wanajibebea tu maujiko kwa mama zetu, uncle zetu, Baba zetu, shangazi zetu Babu zetu na Bibi zetu hii yote ni kwa sababu CCM wanabebwa na Historia.
Asilimia kubwa ya ndugu zangu wa vijijini hupigia kura chama na sio mtu kwa sababu ya historia.

Uchaguzi wa mwaka 2025 CHADEMA wanatakiwa kufocus zaidi kuhakikisha walau kila kata wanapata walau mwenyekiti mmoja wa kijiji.

CHADEMA wanatakiwa kuhakikisha kila kijiji walau wanapata hata wenyeviti wa vitongoji wanaotokana na hicho chama.

CHADEMA pia wanatakiwa kuhakikisha mwaka 2025 wanaingiza Madiwani na Wabunge wengi ili kuhakikisha wanawavuta watu wengi zaidi kuelekea 2030.

CHADEMA Imekuwa kila siku inaikabiri njaaa kwa mbinu za Jana. Mnatakiwa kuwaandaa vijana hao wa 95-2012 ambao ndio watakuwa wapiga kura wakuu.

NB, CHADEMA NENDENI VIJIJINI MKAZALISHE WATU.
Kama itaacha falsafa ya kuamini kuwa kanda ya kaskazini pekee ndio teule walau mzee mbowe anaweza gombe na kupata kura walau milioni moja badaya ya zile laki nane alizopata wakati alipogombea urais.
 
Back
Top Bottom