LGE2024 CHADEMA ikikomaa itashinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 CHADEMA ikikomaa itashinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kw
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo.


Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Kweli mkuu,Tamisemi wamekomaa wasimamie!
 
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo.


Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
mbona unajipa matumaini yaliyokufa kiasi hicho yaaani kama chadema wakikomaa unajuwa kabisa hawawezi kukomaa mpaka washinde matumaini hakuna wananchi wameshawapuuza hamtangzi sera mnatangaza majungu nani ataishi kwa majungu yenu kwa faida ya nani
 
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo.


Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Hata wakikomaa wawe kama vibunzi hawawezi kushinda uchaguzi
 
Chadema ni kama povu la sabuni ya unga katika beseni, linatuna juu (uongozi wa juu wa CDM) , unaweza kudhani ni imara kama jiwe, weka mguu sasa ndio utajua
 
Nimeangalia clip ya Wana CHADEMA Tarime Mjini kweli wamejipanga. Wameweka wakala wao kila kituo cha kuandikisha kura. uandikishaji utakaoanza tarehe 11 Oktoba, 2024 na Mbeya Mjini ndiyo usiseme.
 
Kamanda wewe nae ni Kunguru wanatuongoza au waliiharibu chaguzi zote mwaka 2019 na uchaguzi mkuu 2020? Hawana jambo halafu waoga mnoo wanategemea mapolisi. Hapa kitaa hata salam yangu haiwaitikii na Mimi nasema tutakutana kwenye kampeni nitawapiga spana aisee 🤣🤣🤣
Halafu huwa wanatuanzishiaga sana vurugu.
Ndiyo mana sisi tukichukua nchi polisi yote tunaifuta tunaweka makamanda wetu basi
 
Nyie chadema kwenye uchaguzi ni wagen waalikwa nimuhm muwepo na mnakaribishwaa mtakula kunywa ila kulala kilamtu kwake hamruhusiwi kulala mtaenda kulala makwenuu
 
Sawa BUMUNDA
Sawa BUMUNDA, Kumbe naongea na sehemu ya kutupia taka zikiwemo taka za mfano wa KAMASI toka fimbo ya Binadamu iliyo kwenye suruali 🤣🤣🤣😀🤣😀 jina tu linaonesha huna akili Jina Dustbin 😀🤣🤣😀
Wala usijichekeshe..., mimi sicheki kwenye ishu serious. Chadema hiki kigezo mlichoweka kwa watakaochukua fomu wawe na kiwango cha elimu kidato cha sita mmejiharibia na mtapoteza wanachama wengi sana. ACT itawapiga bao mapema sana
 
Wala usijichekeshe..., mimi sicheki kwenye ishu serious. Chadema hiki kigezo mlichoweka kwa watakaochukua fomu wawe na kiwango cha elimu kidato cha sita mmejiharibia na mtapoteza wanachama wengi sana. ACT itawapiga bao mapema sana
Hizo ni emoji za dharau na kebehi huelewi labda!!
 
Back
Top Bottom