Hilo halina ubishi. Wanaobisha wabishe ila ukweli ndio huo. Siyo hayo pekee bali hata Karatu.Ni dhahiri kwamba miamba hawa wa kisiasa bado wana nguvu kubwa sana ambayo ni vigumu kuimaliza kwa siasa uchwara.
Chadema wakiamua kutumia busara na kufanya siasa badala ta kukomoana, naliona jimbo la Bunda na Kawe yakitikisa uchaguzi wa 2025. Endapo Chadema itawasimamisha, hakika italeta msisimuko na pia kuibua mtetemo wa chama katika jamii.
Kazi kwao, ni kucheza karata kwa akili ya ziada. Siasa za kenya huwa hazina adui wa kudumu, bali huangalia malengo ya kisiasa kwa mapana yake.
Tanzania hakuna uchaguzi, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi katika box la kura. Sasa sijui ni hamasa ya uchaguzi gani unaongelea. Hakuna mtu anajitambia atajitokeza kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Hao akina Mdee wapeni majimbo huko ccm, nyie ndio mnaendekeza hao wapigania matumbo.Ni dhahiri kwamba miamba hawa wa kisiasa bado wana nguvu kubwa sana ambayo ni vigumu kuimaliza kwa siasa uchwara.
Chadema wakiamua kutumia busara na kufanya siasa badala ta kukomoana, naliona jimbo la Bunda na Kawe yakitikisa uchaguzi wa 2025. Endapo Chadema itawasimamisha, hakika italeta msisimuko na pia kuibua mtetemo wa chama katika jamii.
Kazi kwao, ni kucheza karata kwa akili ya ziada. Siasa za kenya huwa hazina adui wa kudumu, bali huangalia malengo ya kisiasa kwa mapana yake.
Haupo serious pale Geita Mjini alipata 15,000 Votes huku CCM ikipata 25,000 Votes na ilikua mara ya kwanza anagombea jimboni. Mind you Geita ndio ilikua mzizi wa JPM na ulikua uchaguzi wenye rafu nyingi ndio sembuse 2025 ambapo hakuna mbeleko za JPM?Mpeleke Peneza, atapigwa kama ngoma, hajajijenga kisiasa, kisiasa ana survive kwa kulishwa nafasi. Kwa miaka michache iliyopita kafanya nini?
Anyway, Mnyika anapenda kupumzika kivulini
Ule ulikuwa upepo wa Lowassa, ilikuwa kokoro, lilibeba wasio na uwezo na wenye uwezo, fanya ratio ya kura za urais na ubunge katika eneo hilo, utakuta mgombea ubunge alibebwa na mgombea uraisHaupo serious pale Geita Mjini alipata 15,000 Votes huku CCM ikipata 25,000 Votes na ilikua mara ya kwanza anagombea jimboni. Mind you Geita ndio ilikua mzizi wa JPM na ulikua uchaguzi wenye rafu nyingi ndio sembuse 2025 ambapo hakuna mbeleko za JPM?
Kawe sio Arusha ambako wamejaa nyumbu na wavuta bangi wa kumchagua Lema Kwa ahadi hewa.Ni dhahiri kwamba miamba hawa wa kisiasa bado wana nguvu kubwa sana ambayo ni vigumu kuimaliza kwa siasa uchwara.
Chadema wakiamua kutumia busara na kufanya siasa badala ta kukomoana, naliona jimbo la Bunda na Kawe yakitikisa uchaguzi wa 2025. Endapo Chadema itawasimamisha, hakika italeta msisimuko na pia kuibua mtetemo wa chama katika jamii.
Kazi kwao, ni kucheza karata kwa akili ya ziada. Siasa za kenya huwa hazina adui wa kudumu, bali huangalia malengo ya kisiasa kwa mapana yake.
Naongelea uchaguzi wa 2020, upendo peneza alipata 15k votes CCM wakapata 25k votes ina mind you Geita ndio ilikua kitovu cha nguvu ya JPM! Sasa imagine 2025 ambapo hakuna mbeleko ya JPM wala polisi?!Ule ulikuwa upepo wa Lowassa, ilikuwa kokoro, lilibeba wasio na uwezo na wenye uwezo, fanya ratio ya kura za urais na ubunge katika eneo hilo, utakuta mgombea ubunge alibebwa na mgombea urais
Wajumbe watafanya Yao tenaMbona Chadema walishakuwepo Kawe zaidi ya miaka 10 na hakuna kilichofanyika.
Wana Kawe haswa sisi tuliopo humu JF, tunajipanga kumchukulia kadi ndugu Pascal Mayalla , ili aje kuwa mgombea wetu katika jimbo letu.