Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #21
Umefuatilia nilichoandika?Huu ujinga Kila Mwaka ndio Unao uponza Upinzani.
Yaani Kujipa Matumain hewa Hata hambadiliki
Kuiondoa CCM sio Rahisi kwa Ujinga Mlio nao Mitandaon Mnahitaji Kufanya Mabadiliko ya kweli kwanza Nyie kwa Nyie.
Eti Chadema Yaigawa Kati kwa kati CCM Ujuha Mtupu
Kwa Hali hii na Upumbavu wa Vijana wa Tanzania
CCM itatawala Miaka 100 Mbele
Mambo yaliyowahi kuamuliwa na vikao maalum vya chama kuletwa hadharani yaani siri za chama, hovyo kabisaWewe ulitaka CHADEMA wawe na Siri kwenye jambo gani ambalo Kwa Sasa limewekwa hadharani?
Ndio maana ccm itaendelea kutawala kwa sababu ya huu upumbavu wa Chadema ingawa ccm siipendinaona huo ni uoptoshaji kwa wadau,
nadhani chadema inajipasua na kujigawanya yenyewe gentleman π
Nimekuuliza kama jambo lipi?Mambo yaliyowahi kuamuliwa na vikao maalum vya chama kuletwa hadharani yaani siri za chama, hovyo kabisa
Kuna mahali nimeandika CDM (CHADEMA?) imepasuka?CDM haijapasuka kale kagenge ka watu watatu kameshadhibitiwa tayari bila athali kubwa. Tatizo lao ni NJAA pamoja na uchu wa madaraka wa kiasi cha kutaka kuuangusha uongozi halali wa chama - Mapinduzi yameshashindikana.
Unaipenda... Chama dhaifu kama CCM unawezaje kukilinganisha na CHADEMA?Ndio maana ccm itaendelea kutawala kwa sababu ya huu upumbavu wa Chadema ingawa ccm siipendi
Sawa Mrs MbowePamoja na CCM kuwa chama dhaifu kinachotegemea dola na uhalifu kufanya siasa zake, lakini tena bado CHADEMA imekipasua chama hicho kati kwa kati.
Mwaka 1995 wakati NCCR - Mageuzi kilipokuwa maarufu na kila mtu akiamini kwamba chama hicho kitakuja kuwa kikubwa na imara kwenye siasa za Tanzania , Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alikuwa na maoni tofauti.
Kwanza Mwalimu alisema NCCR-siyo chama imara ila kinatumia umaarufu wa aliyekuwa kiongozi wa chama hicho Augustine Lyatonga Mrema kufanya siasa zake.
Mwalimu alisema kuwa chama kitakachokuja kuwa Imara ni Chama Cha Maendeleo na Demokrasia - CHADEMA. Leo miaka 30 baadae, maono ya Mwalimu yametimia.
Kutokana na uimara wa CHADEMA, chama hicho kimeipasua CCM kati kwa kati na kutoka makundi mawili yanayopingana yanayobadili msimamo na mitizamo kutokana na wakati.
Kuna kundi kutokana na nyakati, huona CHADEMA ni chama chenye manufaa katika kuijenga nchi yetu kidemokrasia na kuzifanya taasisi za dola ziwe imara.
Lakini Kuna kundi jingine huona kuwa uimara wa CHADEMA ni jambo hatari Sana kwa maslahi yao yanayotokana na CCM kuwepo madarakani.
Harakati hizo za wana CCM ndizo zilizowagawanya kwenye mitizamo yao kuhusu uchaguzi ndani ya CHADEMA mwaka huu.
Kundi linalotaka CHADEMA iwe imara ni lile linalotaka Mwenyekiti wao asiwe Samia Suluhu Hassan, na kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025, wana CCM wengine nao waruhusiwe kugombea nafasi ya Urais kupitia chama hicho.
Kundi linaloombea CHADEMA iparaganyike (kusambaratika haiwezi kutokea), ni lile kundi linalofaidika kwa Samia kuendelea kuwa Mwenyekiti wa chama chao, na Samia kuwa pia mgombea pekee wa Urais kupitia CCM bila kupingwa.
CHADEMA inaamua siasa za nchi hii.
Chadema ina mshindo mkuPamoja na CCM kuwa chama dhaifu kinachotegemea dola na uhalifu kufanya siasa zake, lakini tena bado CHADEMA imekipasua chama hicho kati kwa kati.
Mwaka 1995 wakati NCCR - Mageuzi kilipokuwa maarufu na kila mtu akiamini kwamba chama hicho kitakuja kuwa kikubwa na imara kwenye siasa za Tanzania , Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alikuwa na maoni tofauti.
Kwanza Mwalimu alisema NCCR-siyo chama imara ila kinatumia umaarufu wa aliyekuwa kiongozi wa chama hicho Augustine Lyatonga Mrema kufanya siasa zake.
Mwalimu alisema kuwa chama kitakachokuja kuwa Imara ni Chama Cha Maendeleo na Demokrasia - CHADEMA. Leo miaka 30 baadae, maono ya Mwalimu yametimia.
Kutokana na uimara wa CHADEMA, chama hicho kimeipasua CCM kati kwa kati na kutoka makundi mawili yanayopingana yanayobadili msimamo na mitizamo kutokana na wakati.
Kuna kundi kutokana na nyakati, huona CHADEMA ni chama chenye manufaa katika kuijenga nchi yetu kidemokrasia na kuzifanya taasisi za dola ziwe imara.
Lakini Kuna kundi jingine huona kuwa uimara wa CHADEMA ni jambo hatari Sana kwa maslahi yao yanayotokana na CCM kuwepo madarakani.
Harakati hizo za wana CCM ndizo zilizowagawanya kwenye mitizamo yao kuhusu uchaguzi ndani ya CHADEMA mwaka huu.
Kundi linalotaka CHADEMA iwe imara ni lile linalotaka Mwenyekiti wao asiwe Samia Suluhu Hassan, na kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025, wana CCM wengine nao waruhusiwe kugombea nafasi ya Urais kupitia chama hicho.
Kundi linaloombea CHADEMA iparaganyike (kusambaratika haiwezi kutokea), ni lile kundi linalofaidika kwa Samia kuendelea kuwa Mwenyekiti wa chama chao, na Samia kuwa pia mgombea pekee wa Urais kupitia CCM bila kupingwa.
CHADEMA inaamua siasa za nchi hii.
Imejipasua pasuaImejipasua yenyewe
HahahaCHADEMA ambayo ni CHADEMA π
Mwalimu huyo huyo aliyekataa usiri Ndiyo huyo huyo aliyemshughulikia Jumbe na wakosoaji wengine; usiamini sana maneno ya wenye madaraka.Wewe uimara wa CHADEMA unaupimaje? Mwalimu alishakataa mambo ya siri siri kwenye mustakabali wa nchi.
Kama Wenje anasikilizwa, basi hata Msigwa acha asikilizweUnamsikiliza Msigwa! Una muda mwingi sana wa kupoteza
Udhaifu wa ccm upo ndani ya udhaifu ya ChademaUnaipenda... Chama dhaifu kama CCM unawezaje kukilinganisha na CHADEMA?
Wacha stori za kufikirika wewe ππPamoja na CCM kuwa chama dhaifu kinachotegemea dola na uhalifu kufanya siasa zake, lakini tena bado CHADEMA imekipasua chama hicho kati kwa kati.
Mwaka 1995 wakati NCCR - Mageuzi kilipokuwa maarufu na kila mtu akiamini kwamba chama hicho kitakuja kuwa kikubwa na imara kwenye siasa za Tanzania , Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alikuwa na maoni tofauti.
Kwanza Mwalimu alisema NCCR-siyo chama imara ila kinatumia umaarufu wa aliyekuwa kiongozi wa chama hicho Augustine Lyatonga Mrema kufanya siasa zake.
Mwalimu alisema kuwa chama kitakachokuja kuwa Imara ni Chama Cha Maendeleo na Demokrasia - CHADEMA. Leo miaka 30 baadae, maono ya Mwalimu yametimia.
Kutokana na uimara wa CHADEMA, chama hicho kimeipasua CCM kati kwa kati na kutoka makundi mawili yanayopingana yanayobadili msimamo na mitizamo kutokana na wakati.
Kuna kundi kutokana na nyakati, huona CHADEMA ni chama chenye manufaa katika kuijenga nchi yetu kidemokrasia na kuzifanya taasisi za dola ziwe imara.
Lakini Kuna kundi jingine huona kuwa uimara wa CHADEMA ni jambo hatari Sana kwa maslahi yao yanayotokana na CCM kuwepo madarakani.
Harakati hizo za wana CCM ndizo zilizowagawanya kwenye mitizamo yao kuhusu uchaguzi ndani ya CHADEMA mwaka huu.
Kundi linalotaka CHADEMA iwe imara ni lile linalotaka Mwenyekiti wao asiwe Samia Suluhu Hassan, na kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025, wana CCM wengine nao waruhusiwe kugombea nafasi ya Urais kupitia chama hicho.
Kundi linaloombea CHADEMA iparaganyike (kusambaratika haiwezi kutokea), ni lile kundi linalofaidika kwa Samia kuendelea kuwa Mwenyekiti wa chama chao, na Samia kuwa pia mgombea pekee wa Urais kupitia CCM bila kupingwa.
CHADEMA inaamua siasa za nchi hii.