CHADEMA imeiteka Tanganyika

CHADEMA imeiteka Tanganyika

Nyie kweli bado mnashabikia CCM?!
Tatizo lako ndio hilo unahangaika na CCM badala kutafuta mbinu kuokoa saccos yenu inayoteketea ki zembe mnooo .. mnoooo haijawahi Tokea . Okoa Chadema achana na chama dume.

CCM anaokolewa na policcm tu kwa kuwatoa ndani mawakala wa upinzani ili wadumbukize makura yao feki

Matusi na kudharauliana chadema kwa chadema kudharauliwa kwa mawakili wa mchongo kudharauliwa wanaharakati wa mchongo kudharauliwa mgombea uraisi wa mchongo 2020 ambaye ni mgombea uwenyekiti wa mchongo kifupi kuwavua nguo viongozi eti mtu anashusha uzi ndio trending inashangaza kidogo halafu mengi yaandikwayo hayana maana mtu anaeleza upuuzi mwingi kama yeye hiyo ndani ya miaka 20 hakuwa kiongozi!
 
Ni wajinga pekee wenye maono kimo cha mbilikimo ndio wanaoweza kafanya uharamia ili CHADEMA kigawanyike , kivurugane ama kisambaratike!

Tangu harakati za kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA zianze hakuna habari nyingine yoyote imeweza kuipiku CHADEMA kwenye top trending discussions. Ni kama vile CHADEMA ndio chama tawala.

Ufu wa CCM unajulikana kwenye matukio kama haya. Hakuna habari yoyote ya CCM imepewa kipaumbele kuanzia kule Arusha kwa bashite, mikes ha ya Tanganyika packers mpaka Yutong la KAZI IENDELEE.

Mijadala ya CHADEMA mitandaoni kwa mwezi December pekee vinaweza kuizidi kwa mbali mno mijadala yote ya CCM kwa maana mzima.

Ni wazi sasa na ni dhahiri shayiri kwamba CHADEMA is unstoppable.. Kuzidi kukifanyia figisu hiki chama ni sawa na kumpiga chura teke!

Spidi iliyonayo CHADEMA kwasasa sijui CCM itafanya mbinu gani kuweza kuipiku maana hata hivyo hakuna cha kuandika kuihusu
Makada wake wote mitandaoni wameweka kambi CHADEMA wakizusha kila aina ya uongo, kuandika majungu NA ETI kuishauri CHADEMA ama viongozi wake😂😂

Trending hii ya CHADEMA itaendelea kuchanja mbuga mpaka uchaguzi mkuu ikiiacha CCM mbali kabisa ulimi nje! Miguu kama imebemendwa.

Kwenye hizi mbio CHADEMA ni mapafu ya umbwa. CCM ni mapafu ya nani hii.😂🙌🏿🏃🏿🏃🏿

View attachment 3186716
wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema taifa, wamkataa kibaraka wa mabwenye ya magharibi hadharini, kutoka kila kanda ya utawala Chadema.

huo ni uzalendo wa kijasri mno kukataa ukoloni mambo leo unaotaka kujipenyeza nchini kupitia Chadema.

Heko wajumbe wa mkutano mkuu Chadema Taifa 🐒
 
Hongereni Chadema kwa kuonesha kwa kauli na matendo ubinadamu ni nini. Unaodaiwa ni mnyukano ndani ya chama ni dalili ya afya njema kwa chama na kwa demokrasia kwa ujumla wake.

Utofauti wa mawazo ndiyo hujenga misingi imara kwa taasisi hasa ya siasa. Kuogopa kukosoana ndani ya chama ndio chimbuko la unafiki kama tunavyoushuhudia ndani ya chama cha wanafiki, CCM.

Nina hakika kwamba pande zote zinazotofautiana kimawazo ndani ya Chadema muda si mrefu zitafikia maelewano kwa kuzingatia hoja zinazotolewa na kila upande na huo ndio uoga wa chama tawala.

Najua Chama cha wanafiki, CCM kitatumia kila njia kuvuruga demokrasia nchini lakini nina imani Chadema imekomaa na itaruka hiyo mitego ya kishetani na kuendeleza juhudi zaidi za kulikwamua taifa.
 
Na ukiangalia washusha uzi ni wafuasi wa mchongo wa chadema watupu wanaopopoana kuanzia jf mpaka X CCM wana wasolola tu mkimalizana mkiwa hoi bin taabani CCM wanachukua wanaweka waaaaa!

Na ukiangalia washusha uzi ni wafuasi wa mchongo wa chadema watupu wanaopopoana kuanzia jf mpaka X CCM wana wasolola tu mkimalizana mkiwa hoi bin taabani CCM wanachukua wanaweka waaaaa!
Usiongee vitu vya kufikirika basi ili kujifariji ongea uhalisia
 
Huu ni wakati wa CHADEMA kupitia TAL.. Huyu ndio mbeba maono ya Tanganyika na jasiri muongoza njia
Haijalishi wangapi watapingana na huu ukweli ama kuubeza! Ama kuukejeli! Hakuna kitakachobadilika.. Iko hivyo na itabaki kuwa hivyoView attachment 3186726
Wewe mzee umechanganyikiwa. Unazunguka sana kumbe lengo ni kumsifu Lissu. Elewa CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndo CHADEMA. Acha kuihusisha CCM kwenye upuuzi wenu.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema taifa, wamkataa kibaraka wa mabwenye ya magharibi hadharini, kutoka kila kanda ya utawala Chadema.

huo ni uzalendo wa kijasri mno kukataa ukoloni mambo leo unaotaka kujipenyeza nchini kupitia Chadema.

Heko wajumbe wa mkutano mkuu Chadema Taifa 🐒
Mnahangaika sana binamu😂😂😂
 
Wewe mzee umechanganyikiwa. Unazunguka sana kumbe lengo ni kumsifu Lissu. Elewa CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndo CHADEMA. Acha kuihusisha CCM kwenye upuuzi wenu.
downloadfile.jpg
 
Hongereni Chadema kwa kuonesha kwa kauli na matendo ubinadamu ni nini. Unaodaiwa ni mnyukano ndani ya chama ni dalili ya afya njema kwa chama na kwa demokrasia kwa ujumla wake.

Utofauti wa mawazo ndiyo hujenga misingi imara kwa taasisi hasa ya siasa. Kuogopa kukosoana ndani ya chama ndio chimbuko la unafiki kama tunavyoushuhudia ndani ya chama cha wanafiki, CCM.

Nina hakika kwamba pande zote zinazotofautiana kimawazo ndani ya Chadema muda si mrefu zitafikia maelewano kwa kuzingatia hoja zinazotolewa na kila upande na huo ndio uoga wa chama tawala.

Najua Chama cha wanafiki, CCM kitatumia kila njia kuvuruga demokrasia nchini lakini nina imani Chadema imekomaa na itaruka hiyo mitego ya kishetani na kuendeleza juhudi zaidi za kulikwamua taifa.
 
Nina hakika kwamba pande zote zinazotofautiana kimawazo ndani ya Chadema muda si mrefu zitafikia maelewano kwa kuzingatia hoja zinazotolewa na kila upande na huo ndio uoga wa chama tawala.

Najua Chama cha wanafiki, CCM kitatumia kila njia kuvuruga demokrasia nchini lakini nina imani Chadema imekomaa na itaruka hiyo mitego ya kishetani na kuendeleza juhudi zaidi za kulikwamua taifa.💪🏿💪🏿💪🏿🔨
 
Ni wajinga pekee wenye maono kimo cha mbilikimo ndio wanaoweza kafanya uharamia ili CHADEMA kigawanyike , kivurugane ama kisambaratike!

Tangu harakati za kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA zianze hakuna habari nyingine yoyote imeweza kuipiku CHADEMA kwenye top trending discussions. Ni kama vile CHADEMA ndio chama tawala.

Ufu wa CCM unajulikana kwenye matukio kama haya. Hakuna habari yoyote ya CCM imepewa kipaumbele kuanzia kule Arusha kwa bashite, mikes ha ya Tanganyika packers mpaka Yutong la KAZI IENDELEE.

Mijadala ya CHADEMA mitandaoni kwa mwezi December pekee vinaweza kuizidi kwa mbali mno mijadala yote ya CCM kwa maana mzima.

Ni wazi sasa na ni dhahiri shayiri kwamba CHADEMA is unstoppable.. Kuzidi kukifanyia figisu hiki chama ni sawa na kumpiga chura teke!

Spidi iliyonayo CHADEMA kwasasa sijui CCM itafanya mbinu gani kuweza kuipiku maana hata hivyo hakuna cha kuandika kuihusu
Makada wake wote mitandaoni wameweka kambi CHADEMA wakizusha kila aina ya uongo, kuandika majungu NA ETI kuishauri CHADEMA ama viongozi wake😂😂

Trending hii ya CHADEMA itaendelea kuchanja mbuga mpaka uchaguzi mkuu ikiiacha CCM mbali kabisa ulimi nje! Miguu kama imebemendwa.

Kwenye hizi mbio CHADEMA ni mapafu ya umbwa. CCM ni mapafu ya nani hii.😂🙌🏿🏃🏿🏃🏿

View attachment 3186716
Yatakuwaa ya chaawaa
 
Sungura aliingia dukani akaulizia: “Karoti zipo.“ Akajibiwa: “Hapana!“ Kesho yake akaenda tena kuulizia. Akajibiwa vile vile. Siku ya tatu akarudi tena kuulizia: “Karoti zipo!?“ Muuzaji akajibu kwa hasira: “Mara ya ngapi nikuambie hatuna karoti! Ukija tena hapa na suali hilo, nakugongomelea msumari wa kichwa kwa nyundo!“ Siku iliyofuata, Sungura akaenda tena dukani akaulizia: “Nyundo zipo?“ Akajibiwa hapana. Akaulizia tena: “Misumari ipo!?“ Akajibiwa hapana. Kwa upole akaulizia: “Karoti zipo!?“

CCM isikutishe bure. Haina uwezo wa kukufanya chochote kile. Ni kama puto tu. CHADEMA iingie 2025 kwa kujiamini. Maana tayari inaongoza mtanange kwa mbali sana 💪🏿


View attachment 3186722
Kama luka katika shamba la mboga mboga vile?
 
Back
Top Bottom