Nyie kweli bado mnashabikia CCM?!
Tatizo lako ndio hilo unahangaika na CCM badala kutafuta mbinu kuokoa saccos yenu inayoteketea ki zembe mnooo .. mnoooo haijawahi Tokea . Okoa Chadema achana na chama dume.
CCM anaokolewa na policcm tu kwa kuwatoa ndani mawakala wa upinzani ili wadumbukize makura yao feki
Matusi na kudharauliana chadema kwa chadema kudharauliwa kwa mawakili wa mchongo kudharauliwa wanaharakati wa mchongo kudharauliwa mgombea uraisi wa mchongo 2020 ambaye ni mgombea uwenyekiti wa mchongo kifupi kuwavua nguo viongozi eti mtu anashusha uzi ndio trending inashangaza kidogo halafu mengi yaandikwayo hayana maana mtu anaeleza upuuzi mwingi kama yeye hiyo ndani ya miaka 20 hakuwa kiongozi!