CHADEMA imeiteka Tanganyika

Mabwabwa ya ccm na makala yamegeuka kuwa madalali ya mbowe huku mamayenu kibaraka wa mabeberu akizurura Kwa warabu kuuza badari zetu🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Ccm ni mapumbavu kama viongoz wao uchwara madalali ya bandari zetu🪛🪛🪛🪛🪛
 
Reactions: UCD
Wewe mzee umechanganyikiwa. Unazunguka sana kumbe lengo ni kumsifu Lissu. Elewa CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndo CHADEMA. Acha kuihusisha CCM kwenye upuuzi wenu.
Ccm mapumbavu ndio maana bila polis hata kitongoji hampati 🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Reactions: UCD
Kwani sasa hivi haijagawanyika? Ni akili za kinyumbu tu ndio atajiliwaza kuwa Chagadomo haijagawanyika.
 
Gentleman,
kidemokrasia kiongozi aliechoka anapumzishwa kwa kura siku ya uchaguzi na sio mdomo na makelele ya waliochokwa na kukataliwa na wapiga kura katika hatua za mwanzo kabisaa za kutafuta uongozi 🐒
CCM mtangaza lini uchaguzi wa Mwenyekiti taifa?
 
CCM mtangaza lini uchaguzi wa Mwenyekiti taifa?
jikite kwenye hoja mahususi gentleman

na ikikupendeza andikia uzi mjadala unaotamani kuuingiza ndani ya hoja mahususi mezani,

si sawa kuanzisha mjadala mpya juu ya hoja mahususi mezani 🐒
 
KIPARA Cha Mchongo!! Kipara bila AKILI NI SAWA NA TAKO 🤣😀🤣🚴🚴
 
Watu hamuielewi siasa, Nyie subirini Lisu ashinde ndio mtajua hamjui. Kushinda hashindi lakini akishinda mtajifunza mengi wakati huu.
 
😆😆😆😆 Karoti zipo?
 
Labda CCM wajipange kivingine kwa kumtosa Chura kiziwi na/au 'project' yao ndani ya CHADEMA kimiujiza ifauru; vinginevyo 2025 watakuwa na hali ngumu sana.
Ccm wanategemea:-
1. Tume-mtu.
2. poliCCM.
3. TISSCCM.
4. Wakurugenzi ambao pia ni makada wa ccm).

Ushindi wa chadema utapenyea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…