Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
andikia uzi mahususi gentleman,CCM ipo mojawapp maana mpaka sasa yapo mspande yasiyopungua matano
Ushindi wa CHADEMA inayo aminiwa na wananchi; ni wananchi hao ndio watafuta takataka zote ulizo zitaja hapo juu.Ccm wanategemea:-
1. Tume-mtu.
2. poliCCM.
3. TISSCC.
4. Wakurugenzi ambao pia ni makada wa ccm).
Ushindi wa chadema utapenyea wapi?
CCM imeshapitia mengi sana. Kama 2015 ilipita hesabu miaka mingine mingi ya CCM kuendelew kuwepoHongereni sana.. Ila msisahau methali ya mwenzio akinyolewa...?
HahahaMbowe ameishiwa hoja hadi amekuwa kituko.
Jambo Kubwa waliloweza Chadema ni ushawishi kwa wananchi Kiasi ambacho ccm hawawezi kufurukuta kweny sanduku huru la kupiga kura.Ccm wanategemea:-
1. Tume-mtu.
2. poliCCM.
3. TISSCC.
4. Wakurugenzi ambao pia ni makada wa ccm).
Ushindi wa chadema utapenyea wapi?
Yote hii ni mipango ya Mungu kwa ajili ya Chadema. Ashukuriwe Mungu.Ni wajinga pekee wenye maono kimo cha mbilikimo ndio wanaoweza kafanya uharamia ili CHADEMA kigawanyike , kivurugane ama kisambaratike!
Tangu harakati za kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA zianze hakuna habari nyingine yoyote imeweza kuipiku CHADEMA kwenye top trending discussions. Ni kama vile CHADEMA ndio chama tawala.
Ufu wa CCM unajulikana kwenye matukio kama haya. Hakuna habari yoyote ya CCM imepewa kipaumbele kuanzia kule Arusha kwa bashite, mikes ha ya Tanganyika packers mpaka Yutong la KAZI IENDELEE.
Mijadala ya CHADEMA mitandaoni kwa mwezi December pekee vinaweza kuizidi kwa mbali mno mijadala yote ya CCM kwa maana mzima.
Ni wazi sasa na ni dhahiri shayiri kwamba CHADEMA is unstoppable.. Kuzidi kukifanyia figisu hiki chama ni sawa na kumpiga chura teke!
Spidi iliyonayo CHADEMA kwasasa sijui CCM itafanya mbinu gani kuweza kuipiku maana hata hivyo hakuna cha kuandika kuihusu
Makada wake wote mitandaoni wameweka kambi CHADEMA wakizusha kila aina ya uongo, kuandika majungu NA ETI kuishauri CHADEMA ama viongozi wakeππ
Trending hii ya CHADEMA itaendelea kuchanja mbuga mpaka uchaguzi mkuu ikiiacha CCM mbali kabisa ulimi nje! Miguu kama imebemendwa.
Kwenye hizi mbio CHADEMA ni mapafu ya umbwa. CCM ni mapafu ya nani hii.πππΏππΏππΏ
View attachment 3186716
Tuombee na iwe hivyo,lkn mambo yaweza badilika mkuu,.ni kama utabiri wa mvua.Kuna huu utabiri uliwahi kutolewa na Sheikh maarufu sana Sheikh Yahaya . kwa jinsi mambo yanavyokwenda sasa ni wazi unaenda kutimia kwa asilimia 1000.. Si vema CCM ikaendelea kushindana na wakatiView attachment 3186725
Huyo mtabiri hakusema chadema wanatachukua nchi ni Upinzani so kwakua Chadomo wapo ICU so inaweza ikawa ACT wazalendo au vingene but habari chama cha wachumia tumbo wapare na wachaga kwishaKuna huu utabiri uliwahi kutolewa na Sheikh maarufu sana Sheikh Yahaya . kwa jinsi mambo yanavyokwenda sasa ni wazi unaenda kutimia kwa asilimia 1000.. Si vema CCM ikaendelea kushindana na wakatiView attachment 3186725
Ni matapeli haswaKaa la moto sana...π
2020 alilamba kura yangu kwenye general election!Huu ni wakati wa CHADEMA kupitia TAL.. Huyu ndio mbeba maono ya Tanganyika na jasiri muongoza njia
Haijalishi wangapi watapingana na huu ukweli ama kuubeza! Ama kuukejeli! Hakuna kitakachobadilika.. Iko hivyo na itabaki kuwa hivyoView attachment 3186726