Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kuingia pekee hakufanyi aingiaye awe chaguo la Mungu.Naunga mkono hoja ila, ili kuthibitisha kuwa CDM ni chaguo la Mungu, then Mungu aiwezeshe Chadema kuingia ikulu!. Chaguo la Mungu, ni anayeingia Ikulu.
p
Tumeshuhudia wengi wakiingia kwa njia haramu na kuja kutoka kwa aibu au vifo vibaya sana kama kina Sam Doe, Amin nk.
Madhalimu na wizi wao wa kura wana mwisho mbaya
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app