johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kikao kifungwe Benson ameongea kama Baraza Zima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeumia kusikia adui zako wakisifiwa? Roho ya kichawi kabisa hiiNaunga mkono hoja ila, ili kuthibitisha kuwa CDM ni chaguo la Mungu, then Mungu aiwezeshe Chadema kuingia ikulu!. Chaguo la Mungu, ni anayeingia Ikulu.
p
Ushauri huu umepokelewa.Huyu kamanda aalikwe kule Channel Ten tena apewe kipindi maalum na mheshimiwa Pascal Mayalla
Mayalla kachanganyikiwa maana alitegemea kupata teuzi kipindi cha mjomba wake lkn ikabuumaAcha kumfanya Mungu kama Babu yako. Mtu aingie madarakani kwa kuzima internet na kuiba kura halafu mnadai ni mpango wa Mungu. Mungu ajihusishi na wezi. Fanya siasa achana na mambo ya Mungu, usimhusishe Mungu na ujinga wa CCM.
Tz hakuna mwanaccm ambae huamini kwamba sio siku nyingi ccm itaondoka madarakani ,Naunga mkono hoja ila, ili kuthibitisha kuwa CDM ni chaguo la Mungu, then Mungu aiwezeshe Chadema kuingia ikulu!. Chaguo la Mungu, ni anayeingia Ikulu.
p
Kwahiyo wewe na uzao wako wote siyo chaguo la Mungu kwa vile hamko Ikulu ? Eti huyu ndiye mwandishi nguli wa habari Tanzania. Tanzania ina vihoja vya so called wasomi!Naunga mkono hoja ila, ili kuthibitisha kuwa CDM ni chaguo la Mungu, then Mungu aiwezeshe Chadema kuingia ikulu!. Chaguo la Mungu, ni anayeingia Ikulu.
p
Bora ofisi kama choo kuliko nyie machoko ya ccm mliojazana kwenye majengo ya serikali mliyoyageuza ofisi za machoko ya ccm.Akili kubwa alafu ofisi kama choo kwa miaka 30