Uchaguzi 2020 CHADEMA imejiandaa vipi kwenye mfumo wa Mawasiliano, hasa Tundu Lissu?

Uchaguzi 2020 CHADEMA imejiandaa vipi kwenye mfumo wa Mawasiliano, hasa Tundu Lissu?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
CHADEMA imajiandaa vipi kwenye mfumo wa mawasiliano hasa Tundu Liss? Nitashangaa sana kama Tundu Lissu anatumia. Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel au TTCL.

Ni lazima Tundu Lissu atumie satellite phone kwa Tanzania unaweza kuitumia kampuni kama Thuraya.

Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lissu?
 
VPN yatosha.
Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lisu?
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana

CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
 
Mipango kama hiyo ni muhimu, ila inapendeza zaidi ikifanywa kwa siri, kama bado hawana huo mpango basi wachukue ushauri wako.

Nakubaliana na wewe mitandao yetu ya simu nchini sio ya kuiamini kabisa linapokuja suala la kutunza siri za watumiaji, tumeshaona mifano ya hilo kwenye baadhi ya makampuni ya simu kwa kutoa siri za wateja wao pale wanapotakiwa kufanya hivyo na mamlaka husika.
 
VPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana

CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
Unaweza kituwekea hapa link ya VPN ambayo iko vizuri watu waipakuwe?

Maana hizi VPN ziko nyingi.
 
VPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana

CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!

Hivi VPN ina encrypt mpaka voice call? na normal sms?
 
Miaka hii mitano? Umesahau samson mwigamba mwenyekiti wa chadema alidukuliwa 2013?
VPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana

CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
 
Hivi VPN ina encrypt mpaka voice call? na normal sms?
VPN kazi yake ni kudanganya mtumia simu aliko. Kwa mfano wewe uko Tanzania unatumia VPN inaonyesha kama uko Uingereza, Kenya au China nk. Hii haifai kwenye udukuzi. Watakudukua tu.

VPN inakufanya uweze kwa mfano kuperuzi website ambayo ni kwa ajili ya nchi nyingine tu. Kwa mfano unataka kuangalia mpira kwa kutumia Sky Sport, ukiwa Tanzania haiwezekani. Lakini ukitumia VPN inakufanya uweze kuona kwa sababu location yako virtually inakuwa uko UK japo uko Tanzania.
 
Kwani Lisu anaogopa nini mpaka ahangaike hivyo?

Au anaogopa mawasiliano na huyu Amsterdam beberu wake kunaswa?
 
VPN kazi yake ni kudanganya mtumia simu aliko. Kwa mfano wewe uko Tanzania unatumia VPN inaonyesha kama uko Uingereza, Kenya au China nk. Hii haifai kwenye udukuzi. Watakudukua tu. VPN inakufanya uweze kwa mfano kuperuzi website ambayo ni kwa ajili ya nchi nyingine tu. Kwa mfano unataka kuangalia mpira kwa kutumia Sky Sport, ukiwa Tanzania haiwezekani. Lakini ukitumia VPN inakufanya uweze kuona kwa sababu location yako virtually inakuwa uko UK japo uko Tanzania.

Okay, kwa hiyo hii inakuficha tu kwenye mambo ya mtandaoni, ila kwenye kupiga na kupigiwa simu huko haihusiki sio? Nadhani ndio concern ya mleta mada ipo hapo.
 
Lkn pia Kuna tetesi kuwa malaika mpinga mitandao atazima internet siku chache kabla ya uchaguzi mpk matokeo yatakapo tangazwa. Kwahiyo yawapasa viongozi wa Chadema wajiandaye na hilo pia.
 
Okay, kwa hiyo hii inakuficha tu kwenye mambo ya mtandaoni, ila kwenye kupiga na kupigiwa simu huko haihusiki sio? Nadhani ndio concern ya mleta mada ipo hapo..
Ndiyo. Nadhani kwenye simu bora watumie Whatsup calls na msg.
 
Sasa Director of Communications Jon Mrema ndio Huyo anachangisha buku buku Twitter walau apate hela ya kampeni, Sasa hapo unategemea kweli wanaweza waka ajiri Experts and Consultants Wakulinda mawasiliano yao? Sattelite phone ni mbali sana na nadhani nazo zinakutana na TCRA kama Facilitate za mawasiliano japo I'm not sure about it ila tu kuna Platforms ziko very secured japo sio 100% mana ukiwa ndani ya network huwezi kuwa completely anonymous, Kama chadema ameshindwa hata kuwa na reliable Online Tv au Channel ya Kawaida, je swala la kulinda mawasiliano ataliweza kweli? Hawa jamaa hawana Long term plan Tupo katika ulimwengu wa digital ambao Data is Power wameshindwa kuwa hata na goals za miaka mitano angalu uchaguzi huu ungewakuta wapo kidigital. Kwangu chadema naona hawako serious kabisa na Sitashangaa kukuta top officials wao wanatumia Tecno na Local simcards
Nimeongea haya kama Technologist
 
Nina uhakika cdm members watakuwa wanaelewa hilo na wamelifanyia kazi ipasavyo, ila kiukweli katika wakati kama huu mawasilianao yenye manufaa zaidi ni yale ya kuonana na muhusika mkayajenga papo kwa hapo na kuachana, vinginevyo inzi ni wengi wanaruka.
 
Back
Top Bottom